History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 326
- 730
Ray hajui kuigiza na sijawahi muelewa yeye anapayuka tu.Nimewahi kuwataja kina Ray, JB n.k kama Watuhumiwa namba moja ya walioiua Bongo muvi.
Hawa na Wenzao walishika Tasnia wakishirikiana na Wasambazaji walikuwa wametanguliza pesa mbele.
Ipo haja Kampuni kama Azam na wengine kujifunza vizuri ujinga uliofanywa na kina Ray na steps wao wakauwa tasnia ili wasije wakarudia makosa.
Hawa Wasanii kuwapa full control ni hatari maana wao kipaumbele ni pesa na umaarufu, kama alivyokuwa steps alishika mpini...kwa sasa nao kina Azam, dstv na wengine wasiruhusu ule ujinga ujirudie.