TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,700 11,034 Dec 14, 2010 #1 Wakuu.... Kuna swali linanitatiza sana mimi kama mpiga kura... naamini kabisa si kama kuna kura iliyobiwa basi ni yangu au yako Au mimi ni chama?
Wakuu.... Kuna swali linanitatiza sana mimi kama mpiga kura... naamini kabisa si kama kuna kura iliyobiwa basi ni yangu au yako Au mimi ni chama?
M Misterdennis JF-Expert Member Jun 4, 2007 1,741 480 Dec 14, 2010 #2 Kura zilizoibwa ni zetu tuliopiga kura; wewe, mimi na wengine.