QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kuna tetesi zinasema kuwa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) kinaandaa sherehe za siku ya walimu duniani ambayo itafanyika mkoani Ruvuma na mgeni rasmi atakuwa J.M. Kikwete. Hii inaweza kubadilisha upepo wa kisiasa na kuongezea angalau kura kwa JK na CCM. Hapa la msingi zaidi ni kuwa Dk. Yahya inabidi aongeze mara dufu ulinzi usioonekana maana akianguka katika sherehe hizi uchaguzi utakuwa umeishia hapa. Mwenye habari zaidi, atujuze zaidi. :spider: