Ndugu wanajamii,hebu tukumbushane,hivi Mgaya alisema wafanya kazi kura wampe Dr Slaa au nani? Wafanyakazi wa serikali,kampuni binafsi,wa majumbani,wa mashambani,waliojiajiri wenyewe n.k.Alisema kura ni kwa Dr Slaa au nani?Naomba tukumbushane tena jamani,siku zinakaribia.Pia wekeni kadi za kupiga kura vizuri. TUKUMBUSHANE WAKUU