Tanganyika
Member
- Nov 4, 2010
- 67
- 1
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na matokeo ya Urais ambayo Nec inatangaza hayaendani na yale ya forms za mawakala hiki ni kitendo cha aibu na ni dhambi kubwa sana, chombo hiki pamoja na walihusika kushauiri huu upuuzi watapata pigo kubwa sana kutoka kwa Mwenyenzi Mungu, hivi hawa washauri hawawezi kutafakari jambo kuwa linaweza kuleta matokeo mabaya? Wanatakiwa kabla ya kufanya mamuzi waangalie kwanza majibu ya matokeo ya huwo mpango wao! Hata mtoto wa std 3 ukimweleza kinachofanyika na NEC atakushangaa, Nec wanafikiri watanzania ni Mambumbumbu? Huu ni wizi wa kitoto kabisa! Lakini Mwisho wenu umefika labda mtubu mapema kwa Mungu na kwa Watanzania! Watanzania wote tuungane kwa pamoja kuombea jambo hili ili haki itendeke, Mungu wetu ni mwaminifu sana na hasemi Uongo, atalishughulikia jambo hili tena kwa namna ya ajabu sana ambayo itakuwa muujiza kwa kila mtu, tusali bila kukoma! AMEN.