R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Kararatasi za kura (kura ) zilizopigwa uchaguzi mkuu wa Marudio zanzibar kuchomwa baada ya miezi 6. Baada ya kukidhi vigezo vya Tume ya uchaguzi; Serikali ya Zanzibar hipo njiani kuchoma makabrasha ya uchaguzi mkuu ; Mwishoni mwa mwezi Novemba ; Kutokana na kutokuwepo kwa pingamizi lolote kuhusu uraisi wa Raisi wa Zanzibar Dr Shein.