Elections 2010 Kura za slaa na jk songea mjini.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Urais: Dr Slaa 16,120 na JK 28,575

Ubunge: Emmanuel Nchimbi CCM -27,495 na Edson Mbogoro CHADEMA 17,495.

CCM wametumia system kupora ushindi wa CHADEMA Songea mjini.
 
Urais: Dr Slaa 16,120 na JK 28,575

Ubunge: Emmanuel Nchimbi CCM -27,495 na Edson Mbogoro CHADEMA 17,495.

CCM wametumia system kupora ushindi wa CHADEMA Songea mjini.

crap! hii ni conspiracy theory ya wana CHADEMA wengi kama kura za Slaa zinapunguzwa kwa staili hii..jambo ambalo haliingii akilini. Kwa kuwa inawezekana kumchagua Mbunge toka CCM na Raisi Slaa and vice versa.
Kwa kuw
 
Back
Top Bottom