Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Yaani ina maanisha ndivyo ilivyokuwa?View attachment 1534897
"Ongeza sauti kidogo"CCM wana kazi kubwa! Unamwengua nani unamuacha nani maana wote wameoza including "Mtakatifu" johnthebaptist
Inshallah naomba na Iwe hivyo! Mungu wape upofu wawaweke hao hao!Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Masikini Tz!Inshallah naomba na Iwe hivyo! Mungu wape upofu wawaweke hao hao!
Bahati mbaya sana wengi ndio kwanza tuna yasikia...Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Kuna msemo unasema " Wajinga wakiwa wengi wanakuchagulia......"Bahati mbaya sana wengi ndio kwanza tuna yasikia...
Bwashee list inayokuja itashangaza wengi naibu sabufa out.....kigwa out....Mollel nk nk!CCM wana kazi kubwa! Unamwengua nani unamuacha nani maana wote wameoza including "Mtakatifu" johnthebaptist
hapo sasa mtaweza kweli?Bwashee list inayokuja itashangaza wengi naibu sabufa out.....kigwa out....Mollel nk nk!
CCM inaleta bunge jipya kabisa bwashee!hapo sasa mtaweza kweli?
Muda utaongeaCCM inaleta bunge jipya kabisa bwashee!
Labda Tulia ingawa sio rahisi.ndiye nani huyu? Sky Eclat Salary Slip angalia post #10
Du kama wale wa Shinyanga wote vimeoKatika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.
Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Mwaka huu kazi ipo! Kweli lakini?Du kama wale wa Shinyanga wote vimeo