Kura za maoni: Yaani ina maanisha ndivyo ilivyokuwa?

mavumbi

JF-Expert Member
Feb 8, 2013
596
326
Yaani ina maanisha ndivyo ilivyokuwa?
KURA ZA MAONI.jpg
 
Yaani ina maanisha ndivyo ilivyokuwa?View attachment 1534897
Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.

Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
 
Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Inshallah naomba na Iwe hivyo! Mungu wape upofu wawaweke hao hao!
 
Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Bahati mbaya sana wengi ndio kwanza tuna yasikia...
 
Aisee engueni wote ila sio Ndugulile chaguo letu, mkicheza tu msitulaumu.
 
Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.

Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.
Du kama wale wa Shinyanga wote vimeo
 
Back
Top Bottom