johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,876
- 141,811
Uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu CCM unaendelea katika mikoa mbalimbali na hapa DSM jumla ya akina mama 252 wametia nia na wajumbe wa mkutano wa uchaguzi ni 263.
Maendeleo hayana vyama!
Maendeleo hayana vyama!