Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
jumamosi tarehe 09 oktoba 2010 rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania na ambaye pia ndiye mgombea urais wa ccm mhe jakaya kikwete alikuwa mgeni rasmi katika mechi a mpira wa miguu kati ya tanzania na morocco kuwania kufuzu fainali za kombe la matiafa ya afrika.
Siku chache kabla ya kuhudhuria mtanange huo, asasi za kitafiti zilikuwa zimetoa maatokeo ya kura za maoni yanaoyoonyesha kuwa mgombea huyo anaongoza kwa mbali dhidi ya wgombea uraisi wengine. Asasi a redet ilikadiria umaarufu na ushindi wa mhe jakaya kikwete wa ccm kufikia 75% ya kura zitakazopigwa; wakati matokeo ya asasi ya synovate yanaonyesha kuwa umaarufu na ushindi wa wake utafikia 61%.
Matokeo ya asasi hizo mbili yameendelea kupingwa na watu kutoka makundi mbali mbali ikiwemo wasomi kutoka vyuo vikuu mbali mbali, wanaharakati, asasi zisizo za kiserikali na hata wanasiasa wenyewe.
Asasi hizo mbili zilihoji watu kati ya 2000 na 3000 tu, na kutoa matokeo hayo.
Habari kutoka uwanja wa taifa mechi hiyo ilikofanyika zinaonyesha kuwa mgombea huyo hakupata mapokezi yaliyotarajiwa na ccm kutoka kwa wapenzi wa soka waliofurika uwanjani hapo kama ambavyo imekuwa ni kawaida yake.
Kutokana na mapokezi hafifu, wapiga kampeni wa cccm wakafanya mipango kuweka sura ya mgombea huyo kujaa katika screen kubwa iliyopo hapo uwanjani, jambo ambalo liliwakera sana wapenzi wa soka na kuanza kuzomea. Habari zinzonyesha kuwa wapenzi waliokuwa jirani na jukwa la wageni rasmi walisimama kabisa kupingi vitendo hivyo.
Utafiti wangu umebainisha kuwa wapenzi wengi wa soka wamekerwa sana na vitendo vya mgombea huyo kuwasafisha watuhumiwa mbali mbali wa ufisadi wakiwemo mramba, lowassa, chenge, rostama n.k na hilo ndilo lililokuwa gumzo kubwa hapo uwanjani.
Naomba walioshuhudia mambo hayo huko taifa watuhabarishe, na hizi ndizo kura za maoni halisi, zemye kuhusisha watu zaidi ya 30,000
Siku chache kabla ya kuhudhuria mtanange huo, asasi za kitafiti zilikuwa zimetoa maatokeo ya kura za maoni yanaoyoonyesha kuwa mgombea huyo anaongoza kwa mbali dhidi ya wgombea uraisi wengine. Asasi a redet ilikadiria umaarufu na ushindi wa mhe jakaya kikwete wa ccm kufikia 75% ya kura zitakazopigwa; wakati matokeo ya asasi ya synovate yanaonyesha kuwa umaarufu na ushindi wa wake utafikia 61%.
Matokeo ya asasi hizo mbili yameendelea kupingwa na watu kutoka makundi mbali mbali ikiwemo wasomi kutoka vyuo vikuu mbali mbali, wanaharakati, asasi zisizo za kiserikali na hata wanasiasa wenyewe.
Asasi hizo mbili zilihoji watu kati ya 2000 na 3000 tu, na kutoa matokeo hayo.
Habari kutoka uwanja wa taifa mechi hiyo ilikofanyika zinaonyesha kuwa mgombea huyo hakupata mapokezi yaliyotarajiwa na ccm kutoka kwa wapenzi wa soka waliofurika uwanjani hapo kama ambavyo imekuwa ni kawaida yake.
Kutokana na mapokezi hafifu, wapiga kampeni wa cccm wakafanya mipango kuweka sura ya mgombea huyo kujaa katika screen kubwa iliyopo hapo uwanjani, jambo ambalo liliwakera sana wapenzi wa soka na kuanza kuzomea. Habari zinzonyesha kuwa wapenzi waliokuwa jirani na jukwa la wageni rasmi walisimama kabisa kupingi vitendo hivyo.
Utafiti wangu umebainisha kuwa wapenzi wengi wa soka wamekerwa sana na vitendo vya mgombea huyo kuwasafisha watuhumiwa mbali mbali wa ufisadi wakiwemo mramba, lowassa, chenge, rostama n.k na hilo ndilo lililokuwa gumzo kubwa hapo uwanjani.
Naomba walioshuhudia mambo hayo huko taifa watuhabarishe, na hizi ndizo kura za maoni halisi, zemye kuhusisha watu zaidi ya 30,000