Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,978
- 103,353
Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Falsafa ya huyo dhalimu ilikuwa kuteka na kushinda kwa kupita bila kupangwa. Uzuri hata majizi ya msoga line wanajua kura halali zilikuwa ni kiasi gani, na huyo dhalimu hakupata kura zozote za maana huko kanda ya ziwa mnakotishia nako wanaume.