KURA YANGU URAIS TZ 2015, ntampigia HUYU HAPA

Lakini hata wewe unajua kwamba majority wataangalia personality when the time come, watu mnaoangalia issues ni wachache sana hamfiki hata laki moja nchi nzima, do not DR IS STUPID WHEN HE FOCUS ON THE PERSONALITY OF HIS OPPONENTS, HE VERY WELL KNOW THERE IS A HUGE MARKET FOR THAT. THAT IS IT.

Hata hizo issue zikiangaliwa wanasiasa wetu wote ni waongo! Wataongopa kama wimbo wa prof. J lakini mwisho wa siku ni kujineemesha wao, familia zao, marafiki zao na wapambe wao. wengine tutaishia kukumbuka issues na kunyong'onyea tu.
 
JokaKuu tafadhali mimi cjakuelewa naomba ufafanuzi hapo
kibol,

..hicho kilichoorodheshwa hapo ni mambo ambayo Dr.Slaa alikuwa akiyasema ktk campaign yake ya 2010.

..hivi mwaka 2010 mtu angesema atampigia kura mgombea uraisi aliyeanguka jukwaani na kukacha mdahalo ungeelewa nini kama siyo kumuunga mkono JK??
 
Last edited by a moderator:
hata hizo issue zikiangaliwa wanasiasa wetu wote ni waongo! Wataongopa kama wimbo wa prof. J lakini mwisho wa siku ni kujineemesha wao, familia zao, marafiki zao na wapamba wao. Wengine tutaishia kukumbuka issues na kunyong'onyea tu.

kimbunga, kama umekata tamaa namna hii unasubiri nini kumkabidhi bwana maisha yako
 
Mchambuzi,

. NYAMKANG'ILI is not talking about issues.

..he is openly campaigning for Dr.Wilbroad Slaa.

..hakuna mgombea anayeweza kuyafanya hayo but Dr.Slaa.

huyo slaa kama familia imemshinda nchi ataiweza? Kama halmashauri chache zinazoongozwa na cdm zimeongoza kwa migogoro nchi ataiweza? Acheni mzaha inapofika suala la kujadili masuala nyeti ya taifa
 
Last edited by a moderator:
kimbunga, kama umekata tamaa namna hii unasubiri nini kumkabidhi bwana maisha yako

Mkuu unaniombea kwa muumba aitwae roho yangu!!! Mkuu wanasiasa wanakuja na maneno matamu lakini wakiingia ikulu wanakuwa kama wamerogwa. Sijui huwa hawaweki kanda za hotuba zao za kampeni na kujikumbusha walichowaambia wananchi.
 
Hata hizo issue zikiangaliwa wanasiasa wetu wote ni waongo! Wataongopa kama wimbo wa prof. J lakini mwisho wa siku ni kujineemesha wao, familia zao, marafiki zao na wapamba wao. wengine tutaishia kukumbuka issues na kunyong'onyea tu.

Ni kweli; Vinginevyo kutwa wanaimba ILANI YA UCHAGUZI INATEKELEZWA as if Miradi hiyo ni endelevu; Hivi kuna kiongozi wa CCM kweli anaye neemeka na familia yake kwa kutegemea miradi ya ilani ya uchaguzi wa CCM kwa mfano? Maji, elimu, afya n.k? Sidhani kama yupo, vinginevyo kwanza, wasingekuwa na maisha bora namna hii tofauti na hao wanaoimbiwa nyimbo za ilani ya uchaguzi, lakini pili, ingekuwa na wao unafuu wa maisha yao unategemea miradi ya ilani ya uchaguzi, basi tungeona shule bora (sio bora shule), afya bora (sio bora afya) huduma bora za maji (sio bora huduma za maji), n.k;

Ilani ya uchaguzi ina miradi ya kuwasaidia wananchi waweze kuona jua siku inayofuatia, sio kuweza kujipanga wao na watoto wao kwa kupewa capabilities za kuwapatia prosperity into the future; Ilani ya Uchaguzi na miradi yake sustains poverty na kuwapa watawala justification ya kuendelea kuwepo, kama vile justifications for NGOs, World Bank, IMF zinavyopatikana, vinginevyo kuua umaskini ni mwisho wa legitimacy ya wote hawa;

Hivi CCM itaendelea mpaka lini kuwa kwenye usingizi na kutoelewa kwanini watanzania wengi wanaunga mkono chadema licha ya mafanikio wanayoambiwa kuhusu Ilani ya Uchaguzi wa CCM? Ni muhimu Wananchi waendelee kukataa kudanganywa eti tazameni tunavyotekeleza ilani ya uchaguzi na waambieni wapinzani eti watazame mabarabara, miradi ya maji, elimu n.k; Hizo barabara ni za maana gani kama nauli haishikiki kutokana na kupanda bei kwa mafuta; hizo barabara zina maana gani iwapo kazi yake kuu ni kupita juu kwa juu kuzoa mazao ya wakulima ambayo bei ya inputs ni kubwa kuliko bei ya mazao yao sokoni; isitoshe, barabara hizi ni za kuunganisha nchi kutokea interior kwenda kupeleka mazao haraka kwa walaji mijini (huku wakulima wakiendelea kuwekeza kuliko wanachopata sokoni), na mazao kwenda kwa wenyewe nje ya nchi kupitia bandarini, na vile vile kukimbiza madini yetu nje kwa ufanisi;

Hakuna kijiji hata kimoja ambacho kina barabara za lami kuunganisha vijiji kwa faida ya vijiji hivi, ikitokea vijiji vya namna hii vipo, basi ni vile humo njiani njiani wanapopitisha madini yetu na meno ya tembo kwenda bandarini DSM;

lakini cha kusikikisha, come 2015, utakuta wananchi wengi hata wale wanaounga mkono M4C wataamua kupigia kura Personalities badala ya Issues...
 
huyo slaa kama familia imemshinda nchi ataiweza? Kama halmashauri chache zinazoongozwa na cdm zimeongoza kwa migogoro nchi ataiweza? Acheni mzaha inapofika suala la kujadili masuala nyeti ya taifa
obamarumney,

..wakati mwingine haya masuala ya nyumba ndogo yanasaidia ku-release pressure.

..hivi hujasikia kwamba Gen.David Petreas alikuwa na kimada wakati akiwa vitani Afghanistan.

..Gen.Mac Arthur naye muda wote wakati wa vita kuu ya pili alikuwa akiambatana na kimwana.

..mimi nadhani masuala ya vimwana yamuongezea uwezo na kumuimarisha Dr wetu wa ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Personalities pia wana issues na watu wanaweza kusapoti personality fulani dhidi ya nyingine kulingana na tofauti ya issues zao na kuamua kumchagua mwenye issues wanazoizona zafaa. BEHIND A PERSONALITY THERE IS AN ISSUE
 
Tatizo natumia simu nilitaka nikugongee like moja nzito sana ila MIA MIA MKUU NIMEIPENDA SANA HII.
 
hapa unamjadili dr. Slaa, right? Nadhani naelewa msingi wa hoja yako; ningependa kukuuliza swali - je, ipi ndio njia sahihi ya kuwakomboa watanzania, kuwaambia ukweli kama mtikila?
behind a personality there is an issue
 
kibol,

..hicho kilichoorodheshwa hapo ni mambo ambayo Dr.Slaa alikuwa akiyasema ktk campaign yake ya 2010.

..hivi mwaka 2010 mtu angesema atampigia kura mgombea uraisi aliyeanguka jukwaani na kukacha mdahalo ungeelewa nini kama siyo kumuunga mkono JK??

JokaKuu nimekuelewa vyema,ila inahitajika nguvu ya ziada kuweza kuwafanya watanzania waanze kudiscuss issues and not personalities,sio ajabu sana kwasababu hata huku jf wengi wetu tunaongozwa na mahaba yetu kwa chama au mtu fulani na sio kile anachokideliver,hapa ndipo tatizo la msingi linapoanzia
 
Last edited by a moderator:
Personalities pia wana issues na watu wanaweza kusapoti personality fulani dhidi ya nyingine kulingana na tofauti ya issues zao na kuamua kumchagua mwenye issues wanazoizona zafaa. BEHIND A PERSONALITY THERE IS AN ISSUE

embu fafanua kidogo hapo mkuu mzamifu
 
Last edited by a moderator:
Najua mnataka niseme ntampigia:
MEMBE

SLAA

ZITTO

LOWASSA

MIGIRO

MBOWE

WASSIRA NK

Hapana. Kura ntampatia mgombea yeyote na wa chama chochote atakaye ahidi kunihakikishia yafuatayo:
(1) MAKAZI BORA, SIKUBALI KUENDELEA KUISHI KWENYE TEMBE

(2) AJIRA

(3) ELIMU BORA KWA WANANGU

(4) HUDUMA BORA ZA AFYA

(5) KUTOKOMEZA RUSHWA NA UFISADI

(6) KUHAKIKISHA HAKI KWA KILA MMOJA

(7) ATAKAYEACHA KUBEMBELEZA WAZENJ KUKAA KWENYE MUUNGANO, WAENDE WAKITAKA

(8) ATAKAYEUNDA "INDEPENDENT POLICE COMPLAINTS COMMISSION"

mkuu nimeipenda hii,ila swala hapa nikuwa uchaguzi unafanyika kabla ya hayo yote,halafu wengi wa wanasiasa wanayazungumza sana haya kabla ya uchaguzi,swali mkuu,hakuna namna ya kuwawajibisha hawa wanasiasa pindi watakaposhindwa kutekeleza kile walichoahidi kuliko kukaa chini na kusubiria duru nyingine ya uchaguzi tena baada ya miaka 5?hilo unalizungumziaje kaka?
 
Post yako ni nzuri ila kama ni Ahadi na Kukuhakikishia hata mimi na kila mtu au Mgombea wanaweza kufanya hivyo.
Kikubwa hapa ni Uwezo, Mikakati, na Mipango haswa ndio tunataka kuona na kusikia kutoka kwa Wagombea Urais aka Taasisi ya Urais.
 
embu fafanua kidogo hapo mkuu mzamifu
maana yangu ni kuwa personality mfano Slaa ana mambo anayosimamia yaani ana issues na watu wanamuunga mkono si kwa sababu ya sura yake bali issues alizosimamaia. hivohivo kwa viongozi wengine mfano Lipumba na issue ya uchumi n.k. sisi tunaweza kujadili issues sawa kwa sababu humu kuna wasomi wananchi pia ingawa wengi si wasomi sana kuna mambo wanayapendelea na wanawasikia hao personalities wakiyasema. kwa hiyo wataonekana kama wanajadili personalities kumbe behind kuna issues wanazoiona
 
maana yangu ni kuwa personality mfano Slaa ana mambo anayosimamia yaani ana issues na watu wanamuunga mkono si kwa sababu ya sura yake bali issues alizosimamaia. hivohivo kwa viongozi wengine mfano Lipumba na issue ya uchumi n.k. sisi tunaweza kujadili issues sawa kwa sababu humu kuna wasomi wananchi pia ingawa wengi si wasomi sana kuna mambo wanayapendelea na wanawasikia hao personalities wakiyasema. kwa hiyo wataonekana kama wanajadili personalities kumbe behind kuna issues wanazoiona

nimekuelewa ndugu yangu,concept niliyoipa hapa nikuwa issues should influence personality.
 
ссm si wameahidi hayo kila siku,,isipokuwa la muungano tu,,,ila hawajahi kutekeleza hata moja!!
 
Back
Top Bottom