NderianangaUmmy
Member
- Mar 2, 2015
- 5
- 1
Muundo wa MUUNGANO ni wa serikali mbili tuuuu tatu za nini??? Vijana wenzangu tujisomee tusifuate mkumbo.. Tuielewe historia ya nchi yetu... Mfano mdogo nautoa ni hivi Tanganyika ni Jina lililotumiwa na Wajerumani nami siku za usoni naona Wajerumani wanakujakuja hawahawa ndio wanaowashawishi baadhi ya vijana wapmbane ili wapate Tanganyika Yao.. Tukumbuke Kusini mwa jangwa la Sahara nchi pekee ambayo haijaathiriwa na vita ni Tanzania pekee.. Vijana tuwe na jicho pevu