Kura ya maoni ACT - Wazalendo kuamua Serikali ya Umoja

Tumeona msimamo wa CHADEMA,kama ACT inataka ikimbiwe na wananchi na kuachwa peke yao basi wakubali watabakia kama walivyombakisha Lipumba.
Humo humo ndani ya ACT kuna viongozi wakuu watajiunga na CHADEMA.

Maalim asikubali kabisa kuingia kwenye mtego wa CCM ajue huko ni kumfarakisha yeye ,wenziwe kwa wananchi walio wengi,walioumia,waliopigwa walioondokewa na wapendwa wao.

Mtego huu umekalia vibaya sana kuliko mitego yote,CCM hawana ukweli zaidi ya kukuondoeni kwenye reli ili yao mambo yanyooke na kuwanyookea, yakiwaacha nyinyi mkijipapatua na wananchi mkibezwa na mwisho wake kuzomewa.

CCM wameshazoea wanakwiba kisha wanawaita watu waili watatu waliowaibia kwenye umoja. mara hii ACT kuweni wananume wenye kujiamini msicheze na hisia za watu waliowapa imani zenu,nyinyi nendeni kimataifa kuulani uchaguzi ,msihadaliwe mkahadaika na kulegeza kamba wakati dunia nzima inajua kilichotokea na udhalilishaji uliotokea.

haya ya serikali ya umoja sio makubaliano ya kupoozesha madhila ya uchaguzi,hili ni suala lipo kabla ya uchaguzi sio jipya,pindipo uchaguzi ungekwenda vizuri na kukubalika na washirika wote ,kusingekuwepo na ukataaji wa kuingia.

Lakini leo uchaguzi mzima ni fake halafu nyie mnaingia eti kutokana na katiba inatakiwa iundwe serikali ya umoja,basi msingwataka watu waende kuchagua tarehe 27/10/2020 .

Wala kina Bimani msidanganye watu kuwa kuna vikao na wananchi hakuna kikao hata kimoja zaidi ya ziara ambazo wananchi wafikwa wamezipokea na kuupokea ujumbe wa ACT ukiongozwa na Maalim Seif na wenzake kuwapa faraja wafikwa wa matokeo mabaya ya uchaguzi.

Leo hii mseme kwa sababu hizi na zile tun'amuwa kujiunga na serikali ili kudumisha umoja wa kizanznibari sababu n'jambo kubwa na lisilo taka kuepukwa lawaunganisha wazanzibari na hiki na kile nyunyu-nyunyu nyanya-nyanya,mkiingia hamna mtakachovuna zaidi ya lawama na wala si umoja ,umoja unaovunjika unapokaribia uchaguzi umoja gani huo.

Uchaguzi hautambuliki ni feki na hakuna sababu ya yeyote kuingia kwenye serikali fullStop.


 
Tunaona na tunasoma katika vyombo vingi vya habari ndani ya mitandano ya kijamii na haswa vyombo vya habari vilivyo mrengo wa kiccm vikishobpkea kwa vichwa vya habari Maali Seif kujiunga,Maalim akubali,Maali sasa ni makamo yaani vitongozo vingi sana na mlengwa sio Maalim bali walengwa ni wananchi kuwapima kuwapa mshituko, Maalim kama Maalim ajitokeze hadharani aikatae nafasi hio mchana kweupe,humo humo kwenye vyombo vya habari wananchi wataelewa hakuna kumung'unya maneno ,awapige CCM bakora ya kichawi tu ..Kwamba hayuko tayari kuingia au kujiunga na CCM katika kuongoza serikali,lakini kukaa kimya kukivuma uvumi huu na ule ni hatari,ajitokeze waswalile tunasema akate mzizi wa fitna. Maana hii ni fitna ambayo imeshaanza kupenya ndani ya mioyo ya wananchi,tunahitaji Maalim akate mzizi wa fitna ili wananchi wawepo katika njia inayojulikana.
 
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar, Salum Bimani, amesema viongozi wa chama hicho wanafanya vikao na Wanachama wake katika majimbo ya Unguja na Pemba kufikia uamuzi wa endapo kishiriki kwenye Serikali ya Umoja.

“Chama bado kinaendelea na vikao vyake kuhusu msimamo wake wa kuingia katika serikali au laa.” alisema.

Bimani aliyasema hayo, huku taarifa za zisizo rasmi zikieleza kwamba mchakato huo umekamilika na kazi kubwa inayofanyika hivi sasa ni kufanya uchambuzi wa maoni ya wanachama na kuangalia faida za kuingia katika serikali hiyo na hasara zake.
Hawaingii. Hasa baada ya chama makini cha upinzani chenzao kuchukua uamuzi waliochukua.

Amandla...
 
Tumeona msimamo wa CHADEMA,kama ACT inataka ikimbiwe na wananchi na kuachwa peke yao basi wakubali watabakia kama walivyombakisha Lipumba.
Humo humo ndani ya ACT kuna viongozi wakuu watajiunga na CHADEMA.

Maalim asikubali kabisa kuingia kwenye mtego wa CCM ajue huko ni kumfarakisha yeye ,wenziwe kwa wananchi walio wengi,walioumia,waliopigwa walioondokewa na wapendwa wao.

Mtego huu umekalia vibaya sana kuliko mitego yote,CCM hawana ukweli zaidi ya kukuondoeni kwenye reli ili yao mambo yanyooke na kuwanyookea, yakiwaacha nyinyi mkijipapatua na wananchi mkibezwa na mwisho wake kuzomewa.

CCM wameshazoea wanakwiba kisha wanawaita watu waili watatu waliowaibia kwenye umoja. mara hii ACT kuweni wananume wenye kujiamini msicheze na hisia za watu waliowapa imani zenu,nyinyi nendeni kimataifa kuulani uchaguzi ,msihadaliwe mkahadaika na kulegeza kamba wakati dunia nzima inajua kilichotokea na udhalilishaji uliotokea.

haya ya serikali ya umoja sio makubaliano ya kupoozesha madhila ya uchaguzi,hili ni suala lipo kabla ya uchaguzi sio jipya,pindipo uchaguzi ungekwenda vizuri na kukubalika na washirika wote ,kusingekuwepo na ukataaji wa kuingia.

Lakini leo uchaguzi mzima ni fake halafu nyie mnaingia eti kutokana na katiba inatakiwa iundwe serikali ya umoja,basi msingwataka watu waende kuchagua tarehe 27/10/2020 .

Wala kina Bimani msidanganye watu kuwa kuna vikao na wananchi hakuna kikao hata kimoja zaidi ya ziara ambazo wananchi wafikwa wamezipokea na kuupokea ujumbe wa ACT ukiongozwa na Maalim Seif na wenzake kuwapa faraja wafikwa wa matokeo mabaya ya uchaguzi.

Leo hii mseme kwa sababu hizi na zile tun'amuwa kujiunga na serikali ili kudumisha umoja wa kizanznibari sababu n'jambo kubwa na lisilo taka kuepukwa lawaunganisha wazanzibari na hiki na kile nyunyu-nyunyu nyanya-nyanya,mkiingia hamna mtakachovuna zaidi ya lawama na wala si umoja ,umoja unaovunjika unapokaribia uchaguzi umoja gani huo.

Uchaguzi hautambuliki ni feki na hakuna sababu ya yeyote kuingia kwenye serikali fullStop.



Umechelewa, wameshajiunga na jana walikuwa busy kuwashauri Chadema wasiwafukuze COVID-19 ili nao wahalalishe ulaji wa matapishi yao. Zitto na Maalim hawana ubavu wa kuvumilia njaa na wanajulikana vyema kwa kuwa kigeugeu. Wameshakiua chama chao bado tangazo la msiba tu.
 
Sasa wakijiunga vipi kuhusu uchaguzi wa marudio kwenye majimbo ambayo hayajafanya uchaguzi? Wataingia kwenye uchaguzi bila kujali figisu?
 
Back
Top Bottom