Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,710
- 93,454
TeteteteteteKapigane na watumia manati ndio level yenu, pamoja na hayo mmeshindwa kuwamaliza wapalestina. Kwa mrusi ndio mtaweza!!! Pole sana nkoi
TeteteteteteKapigane na watumia manati ndio level yenu, pamoja na hayo mmeshindwa kuwamaliza wapalestina. Kwa mrusi ndio mtaweza!!! Pole sana nkoi
Hatufungamani upande Wowote,Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kutambua hilo.
Nani kumfunga paka kengele!!!??Mrusi anatakiwa apigwe haraka sn
Sahivi hana nguvu tenaNani kumfunga paka kengele!!!??
Katika hii Dunia,Mrusi anatakiwa apigwe haraka sn
Haya pelekeni majeshi Sasa.Sahivi hana nguvu tena
Hananguvu nani !!!??Sahivi hana nguvu tena
Soma historia ya nchi yako, kutofungamana na upande wowote ni Sera iliyowekwa na waasisi wa Taifa hiliKu abstain ni ishara ya wazi kuwa viongozi wetu ni dhaifu sana.