mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Ni ajabu sana kuwa na spika asiejielewa.Mkuu umenena vizuri sana, kama kura za hapana hazitakiwi kwa nini kura zipigwe!!!.
Ni ajabu sana kuwa na spika asiejielewa.Mkuu umenena vizuri sana, kama kura za hapana hazitakiwi kwa nini kura zipigwe!!!.
And ur English teacher is the stupidiestIam in living in very stupid times.
Ndugai ukimwi umeanzia kichwani mwake
Hivi karibuni Ndugai alikaa sana India nadhani akiwa kitandani hospitalini. Hebu wadau tuambizane Ugonjwa uliompeleka huko ulipona kweli au ulihamia kichwani? Maana siku hizi mimi simwelewi kama ni taahira au ni mwehu!!!!
Hao waliopiga ndio.mwaka jana kwani walipata hizo hela si aslimia 35% ya bajeti ndio ilitelekezwa?Haya tuone waliopiga ndio watapata hizo hela
Sasa ulichosema wewe c ndio mimi nilichosema, wale wabunge wote wanaomsapoti lipumba wamesema ndio, ukianzia huyo wa mtwara mjini. Wakati anaingia Magdalena sakaya mimi sikumuona wala kumsikia lakini nimesema hapo juu kwamba na yeye angekuwepo angesema ndio. Na nashukuru umekuja kunithibitishia kwamba sakaya alivyokuja kasema ndio. Umepata majibu hapoUnaona mnavyokurupuka na kuchangia kwa mihemko. Magdalena Sakaya alichelewa kuingia Bungeni. Baadae alipata nafasi ya kupiga kura, na alipiga KURA ya NDIO.
Yaah! aione ndege wakati wa kwenda tu.Akirudi India wamuache huko huko.
.....badoanafatwa na LAANA ya bakora aliyomcharaza Ndugu Chilongani...Bunge kama kikao cha harusi? Yaani NduguHai anataka kuendesha bunge kwa mawazo yake binafsi?