Kura ya hapana yaibua mjadala upitishaji bajeti ya Serikali

Kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kwamba waliopiga kura ya hapana wakati wa kupitisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 wasipatiwe fedha na mawaziri kwa ajili ya miradi imeibua mjadala bungeni.

Aliyeanza kuhoji kuhusu kauli hiyo leo (Jumanne) ni Joseph Mbilinyi maarufu Sugu aliyetaka mwongozo wa spika kuhusu kauli yake.

James Mbatia, amesema ni bora kufanyike mabadiliko ya Katiba ili kuwe na chama kimoja kama Bunge haliruhusu mawazo tofauti.

David Silinde amesema kauli zinazotolewa zinaweza kulipasua Taifa, hivyo kuwataka wabunge kutojenga Taifa ambalo wanaweza kulipasua wenyewe.

Mchungaji Peter Msigwa amesema wapinzani hawako bungeni kwa bahati mbaya na kwamba waliowachagua wanajua misimamo yao, hivyo wanapopiga kura ya hapana si kwamba Serikali ipeleke fedha kama hisani kwa kuwa ni fedha za walipa kodi.

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene amesema dunia imebadilika na kwamba zamani bajeti haikuwa shirikishi lakini sasa wabunge wanashirikishwa tangu mipango na maoni ya pande zote huchukuliwa kwa hiyo inashangaza kukataa.

Spika amesema upinzani si wa kusema hapana kwa kila jambo hata pale unaposhiriki na kwamba, unaposema sitaki halafu ukamfuata waziri kwa ajili ya fedha za miradi ataangalia akusaidie vipi. Amesema hapo baadaye itabidi kuangalia namna ya kufanya
Huyu mzee amechoka mapema sana
 
Ndugai na CCM wenzake wanapaswa kujua kuwa hizo fedha hawazileti kama fadhila bali ni Jukumu lao..


Kama hawatuletei fedha na kodi wasitukate tena
 
Wabunge wa ccm majimbo yao mengi hayapelekewi pesa ila wanaongoza kwa kura za ndioo...
 
Chakushangaza wanaosema hapana majimbo yao yanaongoza kwa maendeleo, mm ningekuwa mbunge wa ccm ningeungana kusema hapana ili jimbo lipate maendeleo kama la wapinzani
 
Kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kwamba waliopiga kura ya hapana wakati wa kupitisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 wasipatiwe fedha na mawaziri kwa ajili ya miradi imeibua mjadala bungeni.

Aliyeanza kuhoji kuhusu kauli hiyo leo (Jumanne) ni Joseph Mbilinyi maarufu Sugu aliyetaka mwongozo wa spika kuhusu kauli yake.

James Mbatia, amesema ni bora kufanyike mabadiliko ya Katiba ili kuwe na chama kimoja kama Bunge haliruhusu mawazo tofauti.

David Silinde amesema kauli zinazotolewa zinaweza kulipasua Taifa, hivyo kuwataka wabunge kutojenga Taifa ambalo wanaweza kulipasua wenyewe.

Mchungaji Peter Msigwa amesema wapinzani hawako bungeni kwa bahati mbaya na kwamba waliowachagua wanajua misimamo yao, hivyo wanapopiga kura ya hapana si kwamba Serikali ipeleke fedha kama hisani kwa kuwa ni fedha za walipa kodi.

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene amesema dunia imebadilika na kwamba zamani bajeti haikuwa shirikishi lakini sasa wabunge wanashirikishwa tangu mipango na maoni ya pande zote huchukuliwa kwa hiyo inashangaza kukataa.

Spika amesema upinzani si wa kusema hapana kwa kila jambo hata pale unaposhiriki na kwamba, unaposema sitaki halafu ukamfuata waziri kwa ajili ya fedha za miradi ataangalia akusaidie vipi. Amesema hapo baadaye itabidi kuangalia namna ya kufanya
Ndugai ukimwi umeanzia kichwani mwake
 
Kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kwamba waliopiga kura ya hapana wakati wa kupitisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017/18 wasipatiwe fedha na mawaziri kwa ajili ya miradi imeibua mjadala bungeni.

Aliyeanza kuhoji kuhusu kauli hiyo leo (Jumanne) ni Joseph Mbilinyi maarufu Sugu aliyetaka mwongozo wa spika kuhusu kauli yake.

James Mbatia, amesema ni bora kufanyike mabadiliko ya Katiba ili kuwe na chama kimoja kama Bunge haliruhusu mawazo tofauti.

David Silinde amesema kauli zinazotolewa zinaweza kulipasua Taifa, hivyo kuwataka wabunge kutojenga Taifa ambalo wanaweza kulipasua wenyewe.

Mchungaji Peter Msigwa amesema wapinzani hawako bungeni kwa bahati mbaya na kwamba waliowachagua wanajua misimamo yao, hivyo wanapopiga kura ya hapana si kwamba Serikali ipeleke fedha kama hisani kwa kuwa ni fedha za walipa kodi.

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene amesema dunia imebadilika na kwamba zamani bajeti haikuwa shirikishi lakini sasa wabunge wanashirikishwa tangu mipango na maoni ya pande zote huchukuliwa kwa hiyo inashangaza kukataa.

Spika amesema upinzani si wa kusema hapana kwa kila jambo hata pale unaposhiriki na kwamba, unaposema sitaki halafu ukamfuata waziri kwa ajili ya fedha za miradi ataangalia akusaidie vipi. Amesema hapo baadaye itabidi kuangalia namna ya kufanya

Demokrasia ni uhuru wa kusema ndiyo au hapana. Kama watu hawana uhuru wa kusema hapana kwa kutishiwa kunyimwa fedha za maendeleo then this is going back to monolithic party system. This is a new development maana hata wakati wa Nyerere mfano kulikuwa na kura ya ndiyo na hapana na hatukuwa tumesikia kwamba wanaopiga kura ya hapana wanyimwe fedha za maendeleo. Ni developments mpya kabisa Tanzania!!!
 
kama ni hivo tunaomba serikali isikusanye kodi majimbo ya wapinzani na kule ambako ccm ilikataliwa na wananchi. upinzani tatizo wsmekuwa wapole mno.
 
Yule ni mbunge wa mtwara mjini ambaye anamspoti lipumba kwahiyo alifanya kwa maana. Nilitegemea hata kwa mama wa jimbo la kaliua Magdalena sakaya angesema ndio kwa bahati mbaya hakuwepo.
Unaona mnavyokurupuka na kuchangia kwa mihemko. Magdalena Sakaya alichelewa kuingia Bungeni. Baadae alipata nafasi ya kupiga kura, na alipiga KURA ya NDIO.
 
Ndugai amekosa sifa ya kuwa Spika. Hayuko balanced, anaendekeza ushabiki wa chama chake kuliko kusimamia kanuni.
Eti anataka wapinzani waiunge mkono bajeti, hiyo ndiyo kazi yake?
Spika badala ya kuliongoza Bunge kuisimamia serikali amegeuka kuwa msemaji wa serikali. Its very unfortunate
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom