Kura nyingine za maoni hizi hapa

Jamani hali ya hewa ni mbaya sana kwa sisi m hata vijijini. Hivi sasa nipo Kagera kwenye msiba na nipo eneo linaitwa Izibya ni Bukoba vijijini. Hapa ni usiku na tupo watu wengi kulala hapa msibani na umetokea mjadala mkali sana kuhusu hali ya uchaguzi upande wa urais na sisi m wakasema wana hakika watashinda. Hawa ni vibosile wenye pesa yao mzuri na baada ya ubishi mkubwa mwisho ikalazimika kwamba zipigwe kura za siri ili kuthibitisha kama ni kweli sisi m itashinda. Mara ukaandaliwa uchaguzi kwa taratibu ambazo wote tumekubali ulikuwa huru na haki. Jamani kumbe hatuna haja ya REDET kabisa maana umefanyika uchaguzi wa siri kabisa na matokeo yametoka hivi:

Kikwete kura 8;
Dr Slaa kura 48;
Lipumba kura 4;
Wagombea wengine hawakupata kitu.

Hii imenishitua kabisa maana hapa ni mbali sana na mji na wala hakuna mtandao wa internet kama wa JF, lakini watu wanafahamu watampigia nani kura. Kwa wale wakazi na watu waliowahi kutembelea wilaya ya Bukoba wanapafahamu. Jamani, Kikwete afanye packing ya mizigo yake maana after 31.10 hatakuwa rais wetu tena. Nimefurahishwa sana na misimamo ya wanavijiji na nimefuta ile dhana kuwa kura za sisi m zitatoka vijijini.
Habari ndio hiyo. Kwa herini.

Rafiki yangu ww naona sasa unatupeleka dunia nyingine kabisa unalinganisha Utafiti wa kitaasisi na kura zinazopatikana katika mabishano kwenye msiba!!!?????.

My take
Chadema could take any reporting not in their favour by various institutions as a challenge regardless of whether it is objective or not. That way they can build a stronger party to be depended as an alternative party in the country. Otherwise wasipoteze muda kusikiliza maelezo ya mtu mmoja mmoja humu JF wakadhani tayari wameshinda. I think they need to do more homework than that, winning is not that simple, this country is geographically big, The country has wider varieties of people with different ways of perceiving things and thinking. YES we have to build a democratic country but that needs people to work even harder
 
Amahakika chadema mmepata kijiwe kizuri cha kujiliwaza, yaani mtu akifikiria chochote tu anaandika ilimradi kitawafurahisha wenzake, nawachangiaji wataunga mkono hata iwe upupu gani

Mnalo mwaka huu
 
Hii safi sana mkuu. sisiem hawana jipya na itakuwa makosa makubwa kwa watanzania safi kuwarudisha madarakani. ukiangalia sera yao haina jipya na ndiyo maana hata kauli mbiu yao haina mabadiliko zaidi ya kuongeza neno "ZAIDI". sasa wenye akili tunajiuliza ZAIDI katika nini walichoanzisha? Sioni zaidi ya UFISADI!! maana kwenye elimu wamechemsha!!! madarasa mengi elimu mbovu!!! sasa ARI ZAIDI, KASI ZAIDI, NGUVU ZAIDI kwenye nini? kumbukumbu ya miaka mitano yao ni UFISADI na maajabu ya kusamehewa wezi na kutakiwa kurudisha walichoiba!! Kwa mafisadi lazima wachague sisiem ili kulinda maslahi yao, Lakini kwa Mtanzania safi kabisa kuchagua sisiem octoba 31 ni dhambi kubwa na MTU YEYOTE ATAKAYE FANYA HIVYO ATAKUWA AMEPOTEZA HAKI YA KULALAMIKIA MAISHA MAGUMU BAADA YA KUFANYA MAAMUZI YA KIJUHA!
 
Jamani hali ya hewa ni mbaya sana kwa sisi m hata vijijini. Hivi sasa nipo Kagera kwenye msiba na nipo eneo linaitwa Izibya ni Bukoba vijijini. Hapa ni usiku na tupo watu wengi kulala hapa msibani na umetokea mjadala mkali sana kuhusu hali ya uchaguzi upande wa urais na sisi m wakasema wana hakika watashinda. Hawa ni vibosile wenye pesa yao mzuri na baada ya ubishi mkubwa mwisho ikalazimika kwamba zipigwe kura za siri ili kuthibitisha kama ni kweli sisi m itashinda. Mara ukaandaliwa uchaguzi kwa taratibu ambazo wote tumekubali ulikuwa huru na haki. Jamani kumbe hatuna haja ya REDET kabisa maana umefanyika uchaguzi wa siri kabisa na matokeo yametoka hivi:

Kikwete kura 8;
Dr Slaa kura 48;
Lipumba kura 4;
Wagombea wengine hawakupata kitu.

Hii imenishitua kabisa maana hapa ni mbali sana na mji na wala hakuna mtandao wa internet kama wa JF, lakini watu wanafahamu watampigia nani kura. Kwa wale wakazi na watu waliowahi kutembelea wilaya ya Bukoba wanapafahamu. Jamani, Kikwete afanye packing ya mizigo yake maana after 31.10 hatakuwa rais wetu tena. Nimefurahishwa sana na misimamo ya wanavijiji na nimefuta ile dhana kuwa kura za sisi m zitatoka vijijini.

Habari ndio hiyo. Kwa herini.
Isee imependeza sana hii. This tyme ccm watashangaa bado ahsubuhi
 
Rafiki yangu ww naona sasa unatupeleka dunia nyingine kabisa unalinganisha Utafiti wa kitaasisi na kura zinazopatikana katika mabishano kwenye msiba!!!?????.

My take
Chadema could take any reporting not in their favour by various institutions as a challenge regardless of whether it is objective or not. That way they can build a stronger party to be depended as an alternative party in the country. Otherwise wasipoteze muda kusikiliza maelezo ya mtu mmoja mmoja humu JF wakadhani tayari wameshinda. I think they need to do more homework than that, winning is not that simple, this country is geographically big, The country has wider varieties of people with different ways of perceiving things and thinking. YES we have to build a democratic country but that needs people to work even harder

Haki na dhambi havijawahi kukaa chugu kimoja atangu kuumbwa kwa ulimwengu. Kama unaweza kusoma nyakati vyema utaelewa jambo moja kwamba Uchaguzi wa mwaka huu ni kati ya USAFI na DHULUMA. kama kwa dhati kabisa unaamini katika Mungu (hata wanasayansi wanaamini kwa kusema "no one can change nature"), basi amini kuwa pamoja na mbinu zote chafu za sisiem DKT. Slaa (phD ya ukweli siyo ya zawadi) kwa nguvu za MUNGU akiwatumia watanzania safi ATAINGIA IKULU OCTOBA 31. hii nina hakika na waweza kuninukuu ukipenda
 
Inafurahisha!
Watu wa BKB ni waelewa, regardless ya kuwa mbali na mji!
Uelewa na maarifa ni chachu kubwa sana ya kufanya mageuzi ya kiukombozi!
Aksanteni wananchi hao kwa kumpigia DrSlaa!
 
Chukua polls zote unavyofikiri pamoja na hii ya REDET mnayoamini sisi m maana hao hamuwahoji maswali haya. Kisha amua mwenyewe. Subiri tarehe 31.10 uone ukweli. Mimi nakuletea live kutoka kwenye tukio kupitia LT yangu.

Unajua hata ukimwelewesha vipi huyo hajui ni walewale wanaofaidi matunda ya ufisadi. Kama opinion polls zilifanyika msibani ni wazi kuwa walioshiriki ni ndugu, jama na watu wa karibu na marehemu. pa 1 na hayo hao wa2 kila 1 ina itikadi yake so wote hawawezi kuwa sisi m au chadema cuf etc. kama matokeo walikuwa hivyo inaweza kuwa kweli maana hata huku Tabora wana sisi m wanasema votes zao ni kwa Dr. Slaa, sijui boss wao kawaudhi nn
 
Nakushukuru sana RMA kwa mchango wako kuhusu Dr Willibrod Slaa, Mgombea ambaye Chadema kimemteua ili akishinda awe Rais . Mimi nilibahatika kushiriki na WaTz. wazalendo wenzangu mwanzoni mwa mwaka 1992 , tukaanzisha chama hiki. Nilibahatika pia kuwa Mwenyekiti Taifa wa kwanza, nikazunguka Tanzania nzima kueneza na kusimika Chadema, hadi nilipoachia ngazi mwaka 1998.

Kama Mwenyekiti Mstaafu na Muasisi wa Chadema, Katiba ya Chama inaniruhusu niwe Mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa chama. Kwa hiyo nimeshiriki ktk mchakato wa kumteua na hata kumtafadhalisha Dr. Slaa agombee kiti cha u-Rais mwaka huu. Nimeshiriki pia ktk kuandaa Sera na Ilani ya Chadema ambavyo vinaongoza kampeni zetu katika kuwania u-Rais, ubunge na udiwani mwaka huu.

Najisikia raha ilioje kwamba wateule wetu wakiongozwa na Dr Slaa wanaonyesha umahiri wa hali ya juu na wanachambua matatizo ya wananchi na Taifa, kizalendo na kwa umakini sana. Umma wa Tanzania unaonekana kukubali misimamo yetu, na kama uamuzi unaweza kufanyika kulingana na ukubwa wa hadhara zinazofurika viwanjani kutusikiliza, Chadema tuko njiani kuelekea ushindi. Nawasihi tu Watanzania tuwe jasiri na tusiogope mabadiliko.

Mabadiliko ya kweli yanahitajika Tanzania ili hali ya maisha ya wananchi wengi iwe ya kuridhisha. Tunahitaji kuwaridhisha WaTz. kwamba CCM wamechoka ktk hii miaka 49 ya uongozi wao. Sio tu hayo; bali uongozi wa ccm umefifia na ni dhahiri umetekwa na mafisadi. Dr. Slaa amefafanua vizuri sana jinsi nchi inavyoangamizwa na ukwapuaji na ubadhirifu wa mali na fedha za umma. Inatisha. Tusipobadilisha uongozi kwa kura zetu ifikapo Oktoba 31, ni sisi wenyewe wananchi tutastahili lawama hapo baadae. Fursa tunayo sasa.

Mwisho, onyo lililotolewa na uongozi wa JWTZ hivi majuzi kwamba matokeo ya Uchaguzi wa Oktoba 31 yakubaliwe, la sivyo vurugu zitakazofuata zitaweza kuleta umwagaji wa damu, kwa maoni yangu, lilistahili kutolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame.

Jaji Makame angetangaza kwamba katika Uchaguzi wa Oktoba 31, Tume yake itahakikisha kwamba kila Mtanzania mwenye haki ya kupiga kura, atapiga kura, na kwamba uhesabuji utasimamiwa kwa haki bila kupendelea chama au mgombea yeyote. Kwa hiyo anategemea kwamba kila mgombea atakubali matokeo. Lakini endapo kutatokea dosari yoyote, mgombea aliye na haki ya kisheria kupinga, asilete vurugu na kusababisha uvunjivu wa amani, bali achukue hatua za kwenda mahakamani. Hapo ndipo ningeelewa.

Jukumu la kuwaambia wagombea wakubali matokeo, sio la JWTZ. Ni la Tume ya Uchaguzi.
 
Amahakika chadema mmepata kijiwe kizuri cha kujiliwaza, yaani mtu akifikiria chochote tu anaandika ilimradi kitawafurahisha wenzake, nawachangiaji wataunga mkono hata iwe upupu gani
mtahaha sana mwaka huu...na mtatafuta sehemu ya kuficha sura baada ya 31octb!!
 
.... Asante kwa kutu inform mambo ya huko najuwa sisi m wako kikaangoni na mashakani. dHAMBI YA KUKUMBATIA WAFISADI INATAFUNA MTU SASA HIVI. AMECHOKA NA KWENDA KUTUPA TURUFU YAKE KWA TAIFA STAR V MOROCO LAKINI NAYO IMEOTA MBAWA.. MAMBO MAGUMU CCM ....KWAHERI YA KUONANA TUNAONANA MWAKA 3000.... ATAKAPOKUJA NYERERE MWINGINE NA KARUME MWINGINE... NA WATU WENYE MAWAZO YALEYALE... POLENI.
 
Rafiki yangu ww naona sasa unatupeleka dunia nyingine kabisa unalinganisha Utafiti wa kitaasisi na kura zinazopatikana katika mabishano kwenye msiba!!!?????.

My take
Chadema could take any reporting not in their favour by various institutions as a challenge regardless of whether it is objective or not. That way they can build a stronger party to be depended as an alternative party in the country. Otherwise wasipoteze muda kusikiliza maelezo ya mtu mmoja mmoja humu JF wakadhani tayari wameshinda. I think they need to do more homework than that, winning is not that simple, this country is geographically big, The country has wider varieties of people with different ways of perceiving things and thinking. YES we have to build a democratic country but that needs people to work even harder
If you think your arguments here are accurate, then I urge you to ask REDET/sisi m why did they cheer when their research was published in the medias?.

Be serious my friend, We all have rights to find out how people feels about our party and the election in general. We don't care to whom will others vote to on 31st, but to begin with we have rough estimate of what we expect to yield in our localities. Thanks that others are reporting the same. We are not forced to accept REDET research either. Thank you.
 
Nakushukuru sana RMA kwa mchango wako kuhusu Dr Willibrod Slaa, Mgombea ambaye Chadema kimemteua ili akishinda awe Rais . Mimi nilibahatika kushiriki na WaTz. wazalendo wenzangu mwanzoni mwa mwaka 1992 , tukaanzisha chama hiki. Nilibahatika pia kuwa Mwenyekiti Taifa wa kwanza, nikazunguka Tanzania nzima kueneza na kusimika Chadema, hadi nilipoachia ngazi mwaka 1998.

Kama Mwenyekiti Mstaafu na Muasisi wa Chadema, Katiba ya Chama inaniruhusu niwe Mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa chama. Kwa hiyo nimeshiriki ktk mchakato wa kumteua na hata kumtafadhalisha Dr. Slaa agombee kiti cha u-Rais mwaka huu. Nimeshiriki pia ktk kuandaa Sera na Ilani ya Chadema ambavyo vinaongoza kampeni zetu katika kuwania u-Rais, ubunge na udiwani mwaka huu.

Najisikia raha ilioje kwamba wateule wetu wakiongozwa na Dr Slaa wanaonyesha umahiri wa hali ya juu na wanachambua matatizo ya wananchi na Taifa, kizalendo na kwa umakini sana. Umma wa Tanzania unaonekana kukubali misimamo yetu, na kama uamuzi unaweza kufanyika kulingana na ukubwa wa hadhara zinazofurika viwanjani kutusikiliza, Chadema tuko njiani kuelekea ushindi. Nawasihi tu Watanzania tuwe jasiri na tusiogope mabadiliko.

Mabadiliko ya kweli yanahitajika Tanzania ili hali ya maisha ya wananchi wengi iwe ya kuridhisha. Tunahitaji kuwaridhisha WaTz. kwamba CCM wamechoka ktk hii miaka 49 ya uongozi wao. Sio tu hayo; bali uongozi wa ccm umefifia na ni dhahiri umetekwa na mafisadi. Dr. Slaa amefafanua vizuri sana jinsi nchi inavyoangamizwa na ukwapuaji na ubadhirifu wa mali na fedha za umma. Inatisha. Tusipobadilisha uongozi kwa kura zetu ifikapo Oktoba 31, ni sisi wenyewe wananchi tutastahili lawama hapo baadae. Fursa tunayo sasa.

Mwisho, onyo lililotolewa na uongozi wa JWTZ hivi majuzi kwamba matokeo ya Uchaguzi wa Oktoba 31 yakubaliwe, la sivyo vurugu zitakazofuata zitaweza kuleta umwagaji wa damu, kwa maoni yangu, lilistahili kutolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame.

Jaji Makame angetangaza kwamba katika Uchaguzi wa Oktoba 31, Tume yake itahakikisha kwamba kila Mtanzania mwenye haki ya kupiga kura, atapiga kura, na kwamba uhesabuji utasimamiwa kwa haki bila kupendelea chama au mgombea yeyote. Kwa hiyo anategemea kwamba kila mgombea atakubali matokeo. Lakini endapo kutatokea dosari yoyote, mgombea aliye na haki ya kisheria kupinga, asilete vurugu na kusababisha uvunjivu wa amani, bali achukue hatua za kwenda mahakamani. Hapo ndipo ningeelewa.

Jukumu la kuwaambia wagombea wakubali matokeo, sio la JWTZ. Ni la Tume ya Uchaguzi.
Asante kwa mchango baba yetu na mzee wetu Mtei. Tumeyaelewa maonyo yako na hatutapigana wala damu haitamwagika kwa kuwa Dr Slaa atashinda na tunaamini sisi m watakuwa waungwana kukubali matokeo ingawa sijasikia kauli hii ikitolewa na mgombea wao mbali na kauli ile ambayo wamekazia kuitoa kuwa ni lazima wao washinde.

Tunaomba mtusaidie kumwambia kikwete atoe tamko kuwa akishindwa pia yuko tayari ku pass over madaraka peacefully bila kumwaga damu kama anavyojaribu kufanya sasa.
 
Kikwete kura 8;
Dr Slaa kura 48;
Lipumba kura 4;
Wagombea wengine hawakupata kitu.

Hii imenishitua kabisa maana hapa ni mbali sana na mji na wala hakuna mtandao wa internet kama wa JF, lakini watu wanafahamu watampigia nani kura. Kwa wale wakazi na watu waliowahi kutembelea wilaya ya Bukoba wanapafahamu. Jamani, Kikwete afanye packing ya mizigo yake maana after 31.10 hatakuwa rais wetu tena. Nimefurahishwa sana na misimamo ya wanavijiji na nimefuta ile dhana kuwa kura za sisi m zitatoka vijijini.

Habari ndio hiyo. Kwa herini.
Kiasilimia ya maanisha hivi:-

a) Dr. Slaa.................80%

b) JK............................13.3%

c) Prof. Lipumba...................6.7%

Matokeo haya yanaoana kabisa na mahudhurio kwenye tanuru la kampeni ambalo ndilo msema kweli.

Shukrani sana ndugu yangu kwa utafiti makini ambao unashinda ule wa kifisadi wa REDET na SYNOVATE
 
If you think your arguments here are accurate, then I urge you to ask REDET/sisi m why did they cheer when their research was published in the medias?.

Be serious my friend, We all have rights to find out how people feels about our party and the election in general. We don't care to whom will others vote to on 31st, but to begin with we have rough estimate of what we expect to yield in our localities. Thanks that others are reporting the same. We are not forced to accept REDET research either. Thank you.

Achana na huyo bro! Anafikiri watu bado tunadanganyika kirahisi hivyo? Kwani wao REDET walipofanya utafiti wao sample size yao ilikuwaje? Hebu asituchanganye kabisaa tulishaamua bwana sisi m kwa heri!!!!!!

Kama watu wa vijijini wamechoka anategemea nini mwaka huu ni mwaka wa Mabadiliko. Jana Dr. Slaa alikuwa huku Kasulu watu wamejazana uwanjani kama sisimizi. Wanaodai kuwa watu wanaenda kwenye mikutano ya CHADEMA kuangalia Helikopta waseme sasa!! Jana kaja kwa magari lakini watu tumejazana uwanjani na hakuna aliyeondoka mpaka Mkutano umeisha. Weweeeeeeeeeeee!! Mwaka huu moto utawaka!!!!!!!
 
Kiasilimia ya maanisha hivi:-

a) Dr. Slaa.................80%

b) JK............................13.3%

c) Prof. Lipumba...................6.7%

Matokeo haya yanaoana kabisa na mahudhurio kwenye tanuru la kampeni ambalo ndilo msema kweli.

Shukrani sana ndugu yangu kwa utafiti makini ambao unashinda ule wa kifisadi wa REDET na SYNOVATE
Alafu linganisha na polls zingine zote uone uwiano utaona ni karibu zinafanana zote kimatokeo. Na hapa ndipo natiwa moyo.
 
:preggers::preggers:



[FONT=Comic Sans MS, cursive]Hatumtaki rais Mchawi![/FONT]
[FONT=Comic Sans MS, cursive]Watanzania amkeni tunamhitaji Rais mcha Mungu![/FONT]
[FONT=Comic Sans MS, cursive]Tunamhitaji rais anayeongozwa na Nguvu ya Mungu.[/FONT]
[FONT=Comic Sans MS, cursive]Tuzipinge nguvu za giza.[/FONT]



[FONT=Comic Sans MS, cursive]Kura yako mpe Dr Slaa.[/FONT]



[FONT=Comic Sans MS, cursive]Siasa za majini hazifai![/FONT]



[FONT=Comic Sans MS, cursive]Mtanzania wakati ni huu! Amua sasa[/FONT]
[FONT=Comic Sans MS, cursive]Mungu akubariki![/FONT]





 
Amahakika chadema mmepata kijiwe kizuri cha kujiliwaza, yaani mtu akifikiria chochote tu anaandika ilimradi kitawafurahisha wenzake, nawachangiaji wataunga mkono hata iwe upupu gani
That is plain stupid,
I'm not CHAD' boy but I enjoyed the man posted the observation of situation. Is it big deal to you whether majority chooses Slaa or Kikwete? They will have chose anyway and the chosen will be the president, whether you like it or not.

Stop slanderer and start blowing points:loco:
 
Jamani hali ya hewa ni mbaya sana kwa sisi m hata vijijini. Hivi sasa nipo Kagera kwenye msiba na nipo eneo linaitwa Izibya ni Bukoba vijijini. Hapa ni usiku na tupo watu wengi kulala hapa msibani na umetokea mjadala mkali sana kuhusu hali ya uchaguzi upande wa urais na sisi m wakasema wana hakika watashinda. Hawa ni vibosile wenye pesa yao mzuri na baada ya ubishi mkubwa mwisho ikalazimika kwamba zipigwe kura za siri ili kuthibitisha kama ni kweli sisi m itashinda. Mara ukaandaliwa uchaguzi kwa taratibu ambazo wote tumekubali ulikuwa huru na haki. Jamani kumbe hatuna haja ya REDET kabisa maana umefanyika uchaguzi wa siri kabisa na matokeo yametoka hivi:

Kikwete kura 8;
Dr Slaa kura 48;
Lipumba kura 4;
Wagombea wengine hawakupata kitu.


Well below the belt
 
Back
Top Bottom