Kupungua kwa wapiga debe stand ya mkoa Ubungo uongozi umefanya jambo zuri

lushalila

JF-Expert Member
Feb 23, 2015
283
107
Leo nimekua pale stand ya mabasi ya mikoani ubungo nimekua kuna upungufu mkubwa wa wapigadebe waliozoeleka kudakia watu na kujifanya wanatoa; Msaada wa watu kupata tiketi.

Pamoja na kuwa kwenye msimu wa wasafiri wengi sijaona wapigadebe ambao walikua kero kubwa kwa abilia, Licha ya changamoto ndogondogo zilizobaki naweza sema uongozi umefanya jambo Zuri sana.
 
Wewe mtoa mada hizi takwimu zako ziko verified na nani!??? Ofisi ya takwimu ndio data walizonazo, Nyie watu vichwa vigumu sana mpaka mkanyee ndoo walau siku moja ndio muelewe njia mnayopaswa kupita
 
Mabasi yote yamejaa mpaka tar 26 mwezi huu, kwa mujibu wa uzi fulani uliletwa humu. So wapiga debe hawana kazi ya kufanya kwa kipindi hiki..
 
Wewe ni mgeni apa Dar es salaam nini? Wapiga debe tokea mwaka huu uanze wanakamatwa sana, sio ubungo tuu, mpaka stendi nyingine za daladala wanakamatwa na kupelekwa Gerezani
 
Wewe ni mgeni apa Dar es salaam nini? Wapiga debe tokea mwaka huu uanze wanakamatwa sana, sio ubungo tuu, mpaka stendi nyingine za daladala wanakamatwa na kupelekwa Gerezani
MI sio mgeni ila sijasafiri siku nyingi, kiukweli ubungo panapendeza
 
Mabasi yote yamejaa mpaka tar 26 mwezi huu, kwa mujibu wa uzi fulani uliletwa humu. So wapiga debe hawana kazi ya kufanya kwa kipindi hiki..
Nilienda mwaka juzi usafiri ilikua shida na wapigadebe walitapeli Sana watu na kuwazubaisha.
 
Yeye kasifia bila kutasmini nini anasifia hapo ubungo angeuliza kabla ya kusifia huo upuuzi


Go back to school Dude

Swissme
Binafsi sikuwa mnufaika kwa upigaji debe, Bali nilikuwa mwadhirika wa kazi hiyo hawanunui,
Nikwambie Hakuna abilia Hata moja anayehitaji hiyo huduma,
 
Binafsi sikuwa mnufaika kwa upigaji debe, Bali nilikuwa mwadhirika wa kazi hiyo hawanunui,
Nikwambie Hakuna abilia Hata moja anayehitaji hiyo huduma,



Ndio maana nakwambia

Back to school Dude. Ok

Swissme
 
Back
Top Bottom