Kupungua kwa njiti za viberiti

mporoto

Member
Dec 12, 2012
86
74
Mimi ni mtumiaji wa hivi viberiti pasi kuangaria kampuni gani ina Tengeneza. Kwenye cover la nje kumeandikwa average sticks contents 40. Lakini kila nikinunua haifiki iyo idadi huishia 30 kwa 32. Maswali ya kujiuliza kwa nini kwenye cover waandike kwa lugha ya kigeni na sio kiswahili! Je hiyo sio mbinu ya kuwa ibia raia ambao hawajui kusoma na kuelewa hiyo lugha ya kigeni? Mimi naona huu ni wizi kama wizi mwingine tu
 
Dah, ww ni mfuatiliaji zaidi ya Magu aisee..!! Kama unaweza ukahesabu mpk njiti za kiberiti, basi naweza nikaamini pasi na shaka kwamba huwa unahesabu mpk finyango za nyama kwenye sufuria jikoni...!!!
Pole sn kwa kazi nzito mkuu...!!!
Inauma sana kuona Hari ni ngumu alafu watu tunaibiwa tu! Na wakiendelea hivi tutawataja tu
 
Mara nyingi wanaofanya hivyo ni wenye maduka wasio waaminifu,wanapunguza njiti 5 na kuendelea ili wapate faida zaidi
 
ha ha ha wizi ulianza tangu utotoni unatumwa mchele kilo we unanunua robo tatu ingine pipi. sembus hao.
 
Mimi ni mtumiaji wa hivi viberiti pasi kuangaria kampuni gani ina Tengeneza. Kwenye cover la nje kumeandikwa average sticks contents 40. Lakini kila nikinunua haifiki iyo idadi huishia 30 kwa 32. Maswali ya kujiuliza kwa nini kwenye cover waandike kwa lugha ya kigeni na sio kiswahili! Je hiyo sio mbinu ya kuwa ibia raia ambao hawajui kusoma na kuelewa hiyo lugha ya kigeni? Mimi naona huu ni wizi kama wizi mwingine tu
Inabid nao watumbuliwe au sio mr mporoto
 
Back
Top Bottom