JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
Habari za asubuhi wanaJF,
nina tatizo moja ambalo linanisumbua sana,nina hdd ya 80gb ambayo nimeiwaka kama slave kwenye pc yangu,cha kushangaza ni kwamba ilipungua size toka 80gb mpaka 31gb.Jana niliamisha data zote toka kwenye hiyo hdd baada ya hapo niliiformat,hapo ndipo nilishanganyikiwa kwani ilipungua tena toka 31gb mpaka 3gb.wanaJF kusema kweli sijui ni fanyeje kuirejesha size yake naomba ushauri wenu kama itawezekana kurudia size yake ya mwanzo.
nina tatizo moja ambalo linanisumbua sana,nina hdd ya 80gb ambayo nimeiwaka kama slave kwenye pc yangu,cha kushangaza ni kwamba ilipungua size toka 80gb mpaka 31gb.Jana niliamisha data zote toka kwenye hiyo hdd baada ya hapo niliiformat,hapo ndipo nilishanganyikiwa kwani ilipungua tena toka 31gb mpaka 3gb.wanaJF kusema kweli sijui ni fanyeje kuirejesha size yake naomba ushauri wenu kama itawezekana kurudia size yake ya mwanzo.