successor
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 3,078
- 6,123
Habari wana JF.
Mzee wangu ameamka sauti haitoki, hawezi kuzungumza, ilianza kupotea taratibu tangu juzi, lakini leo asubuhil imekauka kabisa. Hana maumivu yoyote kooni wala sehemu nyingine yoyote mwilini, yuko kawaida kabisa, anakula na anakunywa vizuri kabisa, ila shida ni hiyo tu, sauti haitoki.
Je! Tatizo litakua ni nini?
Mzee wangu ameamka sauti haitoki, hawezi kuzungumza, ilianza kupotea taratibu tangu juzi, lakini leo asubuhil imekauka kabisa. Hana maumivu yoyote kooni wala sehemu nyingine yoyote mwilini, yuko kawaida kabisa, anakula na anakunywa vizuri kabisa, ila shida ni hiyo tu, sauti haitoki.
Je! Tatizo litakua ni nini?