Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Kama Mshana anavyosema hizi mbinu siyo mpya. Nakumbuka miaka kama 4 iliyopita yalikuwa yanatokea sana na nilisikia ni jamaa mmoja aliyekuwa anajulikana kuyafanya na nilisikia alikuwa ndani ya ofisi fulani ya umma.
Personally namjua mtu mmoja alifanyiwa hivi, akaja kupatikana asubuhi yake hajitambui maeneo ya Buguruni huko.
Ni either wanakupulizia kitu au kwa mtazamo wangu toka nisikie tukio lile inawezekana wanakufanyia hypnosis.
Personally namjua mtu mmoja alifanyiwa hivi, akaja kupatikana asubuhi yake hajitambui maeneo ya Buguruni huko.
Ni either wanakupulizia kitu au kwa mtazamo wangu toka nisikie tukio lile inawezekana wanakufanyia hypnosis.