Kupotea bila kujijua

Nilipoyea siku 3 porini wakati nipo darasa la tano, kisa ka mbwa tu...home wakaweka tanga siku ya 3 na mm nikaingia usiku wake *****, sitosahau, zaidi ya saa 72 nimekwama eneo ambalo naona nimezingukwa na mto mm nipo kati kati na mbwa wangu wa3, mto umetengeneza duara alafu mto una ngema za maana, siku nakuja pata akili ya kutoka pale ninsiku ya tatu alfajiri, hapo nishakula sana majani na matunda pori dilijui hata moja, mbwa wamekonda, wamekuwa wapole, mm tumbo limeingia ndani, dah hii siwezi sahau kabisa, ule ulikuwa ni ulimwengu mwingine kabisa.
Ulitokaje tokaje,nini kilikuwa kimekuzuia?
 
Nilipoyea siku 3 porini wakati nipo darasa la tano, kisa ka mbwa tu...home wakaweka tanga siku ya 3 na mm nikaingia usiku wake *****, sitosahau, zaidi ya saa 72 nimekwama eneo ambalo naona nimezingukwa na mto mm nipo kati kati na mbwa wangu wa3, mto umetengeneza duara alafu mto una ngema za maana, siku nakuja pata akili ya kutoka pale ninsiku ya tatu alfajiri, hapo nishakula sana majani na matunda pori dilijui hata moja, mbwa wamekonda, wamekuwa wapole, mm tumbo limeingia ndani, dah hii siwezi sahau kabisa, ule ulikuwa ni ulimwengu mwingine kabisa.
Ulivyofika home ilikuaje?
 
Ulivyofika home ilikuaje?
Baada ya mimi kuondoka huku home ilikuwa hivi

Mama yangu alikuwa ni mfanyabiashara, na hiyo siku ndio alikuwa amerudi, hapo hatujaonana karibia miezi 3, nilikuwa nikiishi kwa babu na bibi mzaa mama,

Nilitafutwa kuanzia mida ya kula yaani saa 7, sikuonekana na sio kawaida yangu, sa 10 mida ya madrassa sikuonekana, saa 12, sikuonekana, wakaanza ingia wasiwasi, taarifa zikaanza kusambazwa kijijini kuwa mjukuu wa fulani haonekani, likapigwa mpaka lile la mgambo, kuna watu hawakulala wananitafuta, kesho yake, taarifa zikapelekwa kwenye vituo vya karibu vya polisi, mpaka mkoani watu wakaenda, ikapita, siku ya tatu ikabidi sasa watu waanze kuhisi pengine nilienda mtoni nimeliwa na mamba ama ndio mambo ya kuwekana misukule maana kijiji chetu uchawi ulikuwa si haba, ndipo babu akaamua waweke hitima basi udhia uishe, kwamba nimekufa
 
Baada ya mimi kuondoka huku home ilikuwa hivi

Mama yangu alikuwa ni mfanyabiashara, na hiyo siku ndio alikuwa amerudi, hapo hatujaonana karibia miezi 3, nilikuwa nikiishi kwa babu na bibi mzaa mama,

Nilitafutwa kuanzia mida ya kula yaani saa 7, sikuonekana na sio kawaida yangu, sa 10 mida ya madrassa sikuonekana, saa 12, sikuonekana, wakaanza ingia wasiwasi, taarifa zikaanza kusambazwa kijijini kuwa mjukuu wa fulani haonekani, likapigwa mpaka lile la mgambo, kuna watu hawakulala wananitafuta, kesho yake, taarifa zikapelekwa kwenye vituo vya karibu vya polisi, mpaka mkoani watu wakaenda, ikapita, siku ya tatu ikabidi sasa watu waanze kuhisi pengine nilienda mtoni nimeliwa na mamba ama ndio mambo ya kuwekana misukule maana kijiji chetu uchawi ulikuwa si haba, ndipo babu akaamua waweke hitima basi udhia uishe, kwamba nimekufa
Aisee pole sanaa
 
Inawezekana, na mimi labda niseme hivi .

Mimi nimekuwa hapa jijini kwa zaidi ya miaka 8 sasa, kuna hospitali kubwa sana hapa jijini nilipata ajira na hata kabla ya kuajiriwa pale nilikuwa naendaga sana.

Nikiwa na miezi mitano baada ya ajira nilivyofika pale mnazi moja baada ya kushuka kwenye dala dala nikasahau njia ya kuelekea kazini nikawa nazunguka tu mara niende huku na kurudi huku nilitumia kama saa moja kuzunguka, nikasema nimepatwa na nini .akili ikanijia nichukue piki piki , kufika kazini niliwaza sana na mpaka leo nikikumbuka nacheka sana
 
Inawezekana, na mimi labda niseme hivi .

Mimi nimekuwa hapa jijini kwa zaidi ya miaka 8 sasa, kuna hospitali kubwa sana hapa jijini nilipata ajira na hata kabla ya kuajiriwa pale nilikuwa naendaga sana.

Nikiwa na miezi mitano baada ya ajira nilivyofika pale mnazi moja baada ya kushuka kwenye dala dala nikasahau njia ya kuelekea kazini nikawa nazunguka tu mara niende huku na kurudi huku nilitumia kama saa moja kuzunguka, nikasema nimepatwa na nini .akili ikanijia nichukue piki piki , kufika kazini niliwaza sana na mpaka leo nikikumbuka nacheka sana
Aisee mi sijawahi ku experience hii kitu kabisa.
Hii hali nahisi inakua kama wenge fulani limekuvaa,Sema sasa kinachosababisha ndo hakifahamiki
 
Baada ya mimi kuondoka huku home ilikuwa hivi

Mama yangu alikuwa ni mfanyabiashara, na hiyo siku ndio alikuwa amerudi, hapo hatujaonana karibia miezi 3, nilikuwa nikiishi kwa babu na bibi mzaa mama,

Nilitafutwa kuanzia mida ya kula yaani saa 7, sikuonekana na sio kawaida yangu, sa 10 mida ya madrassa sikuonekana, saa 12, sikuonekana, wakaanza ingia wasiwasi, taarifa zikaanza kusambazwa kijijini kuwa mjukuu wa fulani haonekani, likapigwa mpaka lile la mgambo, kuna watu hawakulala wananitafuta, kesho yake, taarifa zikapelekwa kwenye vituo vya karibu vya polisi, mpaka mkoani watu wakaenda, ikapita, siku ya tatu ikabidi sasa watu waanze kuhisi pengine nilienda mtoni nimeliwa na mamba ama ndio mambo ya kuwekana misukule maana kijiji chetu uchawi ulikuwa si haba, ndipo babu akaamua waweke hitima basi udhia uishe, kwamba nimekufa
Baada ya mimi kuondoka huku home ilikuwa hivi

Mama yangu alikuwa ni mfanyabiashara, na hiyo siku ndio alikuwa amerudi, hapo hatujaonana karibia miezi 3, nilikuwa nikiishi kwa babu na bibi mzaa mama,

Nilitafutwa kuanzia mida ya kula yaani saa 7, sikuonekana na sio kawaida yangu, sa 10 mida ya madrassa sikuonekana, saa 12, sikuonekana, wakaanza ingia wasiwasi, taarifa zikaanza kusambazwa kijijini kuwa mjukuu wa fulani haonekani, likapigwa mpaka lile la mgambo, kuna watu hawakulala wananitafuta, kesho yake, taarifa zikapelekwa kwenye vituo vya karibu vya polisi, mpaka mkoani watu wakaenda, ikapita, siku ya tatu ikabidi sasa watu waanze kuhisi pengine nilienda mtoni nimeliwa na mamba ama ndio mambo ya kuwekana misukule maana kijiji chetu uchawi ulikuwa si haba, ndipo babu akaamua waweke hitima basi udhia uishe, kwamba nimekufa
 
Baada ya mimi kuondoka huku home ilikuwa hivi

Mama yangu alikuwa ni mfanyabiashara, na hiyo siku ndio alikuwa amerudi, hapo hatujaonana karibia miezi 3, nilikuwa nikiishi kwa babu na bibi mzaa mama,

Nilitafutwa kuanzia mida ya kula yaani saa 7, sikuonekana na sio kawaida yangu, sa 10 mida ya madrassa sikuonekana, saa 12, sikuonekana, wakaanza ingia wasiwasi, taarifa zikaanza kusambazwa kijijini kuwa mjukuu wa fulani haonekani, likapigwa mpaka lile la mgambo, kuna watu hawakulala wananitafuta, kesho yake, taarifa zikapelekwa kwenye vituo vya karibu vya polisi, mpaka mkoani watu wakaenda, ikapita, siku ya tatu ikabidi sasa watu waanze kuhisi pengine nilienda mtoni nimeliwa na mamba ama ndio mambo ya kuwekana misukule maana kijiji chetu uchawi ulikuwa si haba, ndipo babu akaamua waweke hitima basi udhia uishe, kwamba nimekufa
Inasisimsha
 
Ukiwa na Mbwa huwezi kupotea wanakurudisha nyumbani. Mbwa na paka hata umzungushe vipi iwe usiku au mchana hawezi kupotea mazingira yanayofikika kwa kutembea kwa miguu.
Tulioishi na hao wanyama kwenye mapori manene tunauzoefu wa kutosha.
 
Hii ya majani ni kweli katika jamii niliokulia imetokea mara nyingi matukio kama hayo. Hata mama yangu mzazi aliwai kupotea lakin mara nyingi lazima ukutane na mtu anae kujua ndio anakushtua we fulani unaena wap huko unazinduka
Hamna cha majani wala nini huo ni ulimwengu mwingine Tu

Nimepotea mjini mara kibao Tu nnilikuja kujua kuna nguvu nyingine ifanyayo kazi ile
 
Ukiwa na Mbwa huwezi kupotea wanakurudisha nyumbani. Mbwa na paka hata umzungushe vipi iwe usiku au mchana hawezi kupotea mazingira yanayofikika kwa kutembea kwa miguu.
Tulioishi na hao wanyama kwenye mapori manene tunauzoefu wa kutosha.
Mbona kuna jamaa hapo juu kasema mbwa ndo walimpoteza
 
Hili suala kwa maeneo mengine kupotea kulikuwa kukichagizwa na kuokota uyoga usiofaa kwa matumizi ya binadamu,na hali hiyo ya mhusika kutojua ghafla mahala alipo ilikuwa ikidumu kwa almost dk 10 mpaka 30 kisha ufahamu kujirudi kwenye hali ya kawaida,mara nyingi mtu wa namna hiyo ilikuwa akinaswa kibao akili humkaa sawa.
Miaka hii kupotea potea kumekuwa nadra sana.
 
Mbona kuna jamaa hapo juu kasema mbwa ndo walimpoteza
Katia chumvi tu.
Au hafahamu matumizi ya Mbwa.
Mbwa ukimwambia
"nimepotea niongoze kurudi nyumbani"
anakutangulia mbele wewe unamfuata hadi mnafika nyumbani.
Mbwa huwa anasikia unachomwambia
Ni baadhi ya wanyama ambao wanaweza kufundishwa jambo na wakalielewa vizuri tu.
Ndio maana wanatumika sana na majeshi ya nchi nyingi.
Wanapewa hadi vyeo kutokana na wanavyo faulu kozi zao.
Wako mbwa Private, Koplo, Sajent nk.
Ni kwasababu ya kuelewa wanavyo elekezwa na wamiliki wao.
Nimefanya mengi sana kwa msaada wa mbwa baada ya kuwaelekeza nilivyo taka.

Wengi hawalielewi hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom