Kuporomoka Kwa Maadili, Kushamiri Kwa Ushoga Na Ukahaba

Nakupinga jambo moja la TGNP kusupport mashoga sio kweli. Mi nilikuwepo kwenye matukio yote ya gender festival ambayo yanatumika kama platform ya watu kuongea kuhusiana na theme zinazowekwa. Na TGNP walijibu kuwa wao wanatambua jinsia mbili tu ya mwanamke na mwanaume...na sio mashoga au wasagaji.

Na kuhusu maadili ni kweli yanamong'onyoka kwa sababu ya utandawazi. Media inapositive na negative side...na negative side ndo hiyo so serikali inabidi iwe makini na media
Mkuu, kwa habari za kuaminika ni kwamba hao mashoga siku ile ya tamasha walialikwa rasmi na TGNP, na si kualikwa tu, walilipwa mpaka posho za maudhurio.

Hii hapa chini ni mmoja wa waandishi Dada Gloria Tesha. Mwandishi wa habari kutoka gazeti la habari leo

Na hii ndio sehemu ya ripoti yake.

Gloria Tesha said:
SIKUWEZA kujizuia kutokwa machozi pale nilipomuona mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 14 hadi 16 akitembea kwa kutingisha makalio, na kuzungumza huku akicheka kama mtoto wa kike katika Tamasha la 10 la Jinsia jijini Dar es Salaam lililofanyika wiki iliyopita.

Hata hivyo niligundua kuwa hayupo peke yake baada ya kuona kundi la vijana kama yeye wanaojulikana kama mashoga likipitia huku na kule katika tamasha hilo na wakati mwingine kujitambulisha kama wanawake.

Nilianza kuwaonea huruma wazazi wao na pia kuwalaumu lakini pia nikailaumu jamii na hata serikali kwa kuwa nilijua nguvu za taasisi hizo zingeweza kuwanusuru watoto na vijana hao kuwa mashoga kwa kuwa niliamini kibaiolojia zipo tiba na kisaikolojia pia.

Kilichonisukuma kuandika wazo hili pamoja na uchungu kwa hali ya vijana wale na pia baada ya kuona wanaharakati wakigawanyika kutokana na ushiriki wa mashoga hao katika Tamasha hilo huku wengi wakiilaumu TGNP kuwaalika mashoga hao katika tamasha hilo wakidai tabia na mambo wanayoyafanya vijana na wanaume hao si maadili ya Kitanzania na inahamasisha jamii iamini kuwa ni kitu cha kawaida.

Pamoja na malalamiko hayo, TGNP haikuwa wazi kueleza kuwa imewaalika au la baada ya kudai kuwa tamasha ni huru kwa kila mtu, halikubagua mtu kwa jinsia, kabila, dini au rangi.

Hata hivyo baadaye ilifahamika kuwa waliwaalika kwa kuwa waliwalipa posho ya ushiriki wao. Nami kwa sehemu nakubaliana na wanaharakati hao kuwa tamasha lilikuwa huru kwa kila mtu.


Hakuna aliyekasirika ushiriki wa yeyote, lakini kwa mashoga hawa, lawama zilikuwa nyingi kutokana na namna walivyojitambulisha kuwa ni wanawake wakati ni wazi ni wanaume na kutaka Katiba Mpya iwatambue huku baadhi ya wanaharakati wakionekana kuwatetea kuhusu suala hilo la Katiba.

Binafsi naona huu si utetezi wa haki za binadamu bali ni ukatili wa jinsia, najua nitawaudhi wengi katika hili, lakini nani asiyefahamu kuwa nchi hii inaongozwa na sheria na kanuni na iko wazi kuwa kumuingilia mtu kinyume cha maumbile ni kosa la jinai?

source: HabariLeo
 
Wako wapi kina Mzee wa upako, kakobe. Lwakatare, Mwingira and the like waombee pepo hili liondoka na sio kujidai wanaondoa mapepo kumbe wanadanganya watu. ningwaelewa wangeshughulikia mambo ya msingi kama haya na sio kujidai utapata gari la mzee wa upako
 
Duh nawaheshimu sana TGNP wanaharakati wa ukweli na wenye mafanikio makubwa, lakini kama ni kweli wameanza kushadadia mashoga nahisi hii itakuwa inasababishwa na mambo mengi baadhi yaake yakiwa ni
(a) TGNP kutegemea wafadhili ili kuendesha shughuli zake na hatimae kulazimika kumeza matapishi ya wahisani wao kwa kukiuka mila na desturi zetu nzuri na kuleta mabadiliko ambayo hata hao walioendelea wanajutia yalipowafikisha.
(b) Baadhi ya Wanaharakati wa TGNP watakuwa wameshajiunga na hao mashoga na wanataka kusambaza sumu ya ushenzi kwa kuuvikakofia ya unaharakati.
(c) TGNP wameanza kulewa sifa kama tulivyo wanadamu wengi sasa wanaanza kudandia Treni kwa mbele.
 
We are polluted by the media.

Media inafanya tuone ushoga, kuvaa robo tatu uchi, mauaji, fujo etc ni mambo ya kawaida.
Kizazi kinachokuja kuja kitakuwa polluted even more. Bora hata kizazi chetu kimekuwepo wakati media haijachafuka kiasi ilichofikia.

Ushoga kwa watu walioishi nje ya nchii ni jambo la kawaida coz wameshahalibiwa na media movement towards publicizing social evils


Ni vita ngumu sana. Na sehemu sahihi kurekebisha haya mambo ni familia which is also spoiled.
 
Kwa kweli, Qur'an inasema (Suratul Tin, 95) : Alahi Salah bi Ahkamil Hakimil (Isn't God the greater of all the juges?)
Na Bibilia inasema (Matayo 7: 1-5): Do not judge, or you too will be judged.
Nauliza, hivi kuna big sinners and small sinners? If we are all sinners, who gives you the right to condemn the sins commited by other persons? huyajui maisha yao, na hujui ni wema gani wanafanya. we mwenyewe ulipo huja kamilika.
Naomba tuwe waelewa na kabla ya kuhukumu tuanze kwa ushahuri.
Asanteni.
 
Kusema ukweli, nimefanya kazi na mashoga kadhaa katika nchi mbalimbali. Nachotaka kueleza ni kwamba, hawa watu wako katika kila sehemu. Sitashangaa kama humu ndani baadhi yenu ni 'closeted'. Kwanza naomba uelewe jambo moja: Binadamu sio wanyama pekee wanaotabia ya kupendelea kufanya mapenzi na wanyama wa jinsia moja. Kwa listi kamili ya wanyama wote wenye tabia hii, gonga kwenye link hii: List of animals displaying homosexual behavior - Wikipedia, the free encyclopedia.

Wengi hapa mnatumia kitu tofauti kujielezea pointi zenu. Ni sawa sawa na mtu kutumia kijiko kulima halafu aseme baadae kuwa kulima shamba ni impossible kwa sababu kijiko hakiwezi kutumika. Kutumia kitabu cha dini ambayo tayari inapinga tabia fulani basi unakuwa biased. Cha pili, tuache double standards. Nina hakika baadhi yenu hapa mnafahamu wanaume/wanawake mitaani kwenu ambao kwa namna moja au nyingine anavutiwa zaidi na watu wa jinsia yake. Nakumbuka shule ya sekondari kuwa watu walikuwa wanamtamani mwanaume mwenzao walale naye. Hiyo tayari ni tabia ya homosexual. Tatu, tabia ya binadamu katika kutamani binadamu wenzake sio black & white kama mnavyotaka kuiweka. Fikiria tabia ya binadamu katika kutamaniana ni curved. Kwa kitaalamu inaitwa Kinsley scale. Katika ironic twist, sio kwamba watu wanatamani 100% watu wa jinsia tofauti bali ni huwa wanatamani watu wa jinsia zote mbili ila ni society ndio inawasukuma watamani jinsia moja zaidi kuliko nyingine. Kama ukichukua jamii ambayo haina idea ya homophobia, basi utaona kuwa sexuality inajionyesha kwa pande zote. Shida ni kwamba watu wengi mkifikiria mashoga, jambo la kwanza mnawaza kufirana. Hapo ndio unapokosea. Halafu, ukiangalia nchi nyingi ambazo tabia ya ushoga iko huru utagundua kuwa asilimia ya mashoga ni chini ya 1% ya adults wote. Kwa hiyo argument ya kuwa hakuna kuzaliana watoto haishiki maji. Mimi mwenyewe sidhani kuwa kuruhusu mashoga waoane ni idea nzuri Tanzania ila sioni sababu ya kuwapiga mawe. Kama watu wawili wamekuwabiliana, waache wafanye watakavyo ila mradi hakuna anayedhuriwa au kulazimishwa.

A lot more damage is done by people panicking than with the actual situation they panic over.
 
Kwa kweli, Qur'an inasema (Suratul Tin, 95) : Alahi Salah bi Ahkamil Hakimil (Isn't God the greater of all the juges?)
Na Bibilia inasema (Matayo 7: 1-5): Do not judge, or you too will be judged.
Nauliza, hivi kuna big sinners and small sinners? If we are all sinners, who gives you the right to condemn the sins commited by other persons? huyajui maisha yao, na hujui ni wema gani wanafanya. we mwenyewe ulipo huja kamilika.
Naomba tuwe waelewa na kabla ya kuhukumu tuanze kwa ushahuri.
Asanteni.

Kwanza nadhani Waislam hawana mfumo wa dhambi zote ni sawa. Wao dhambi zina daraja, na hukumu za dhambi hizo ziko wazi (watu wanatakiwa wachukuwe hizo hukumu)

Pili, ikiwa tusihukumu, tusingepeleka wengine rumande kwa makosa ya kuiba na mengineyo kwa sababu hatujui wema gani wanafanya (maybe they are like Robinhood). Kwa hiyo kukaa tukasema tusihukumu hilo halipo, kama vitabu vimeandika matendo fulani ni dhambi, sisi kuyasema hayo matendo ni dhambi hatujahukumu, Mungu ndiye aliyehukumu kwa kutuambia kuwa hayo ni dhambi.

Ama kwa kuchukua hatua za kuwanyanyasa sio sawa, lakini kupigia kelele na kusema kuwa ni uovu hakuna ubaya.
 
Kwanza nadhani Waislam hawana mfumo wa dhambi zote ni sawa. Wao dhambi zina daraja, na hukumu za dhambi hizo ziko wazi (watu wanatakiwa wachukuwe hizo hukumu)

Pili, ikiwa tusihukumu, tusingepeleka wengine rumande kwa makosa ya kuiba na mengineyo kwa sababu hatujui wema gani wanafanya (maybe they are like Robinhood). Kwa hiyo kukaa tukasema tusihukumu hilo halipo, kama vitabu vimeandika matendo fulani ni dhambi, sisi kuyasema hayo matendo ni dhambi hatujahukumu, Mungu ndiye aliyehukumu kwa kutuambia kuwa hayo ni dhambi.

Ama kwa kuchukua hatua za kuwanyanyasa sio sawa, lakini kupigia kelele na kusema kuwa ni uovu hakuna ubaya.

mkuu, tupe mistari na sio kusema tu. Mbona mwenzio ametoa mistari kutoka kwenye quran.
 
Fikiria tabia ya binadamu katika kutamaniana ni curved. Kwa kitaalamu inaitwa Kinsley scale. Katika ironic twist, sio kwamba watu wanatamani 100% watu wa jinsia tofauti bali ni huwa wanatamani watu wa jinsia zote mbili ila ni society ndio inawasukuma watamani jinsia moja zaidi kuliko nyingine. Kama ukichukua jamii ambayo haina idea ya homophobia, basi utaona kuwa sexuality inajionyesha kwa pande zote. Shida ni kwamba watu wengi mkifikiria mashoga, jambo la kwanza mnawaza kufirana. Hapo ndio unapokosea. Halafu, ukiangalia nchi nyingi ambazo tabia ya ushoga iko huru utagundua kuwa asilimia ya mashoga ni chini ya 1% ya adults wote. Kwa hiyo argument ya kuwa hakuna kuzaliana watoto haishiki maji. Mimi mwenyewe sidhani kuwa kuruhusu mashoga waoane ni idea nzuri Tanzania ila sioni sababu ya kuwapiga mawe. Kama watu wawili wamekuwabiliana, waache wafanye watakavyo ila mradi hakuna anayedhuriwa au kulazimishwa.

A lot more damage is done by people panicking than with the actual situation they panic over.

hapo umeongea ukweli.
 
Mimi nikaishakutana na mtu mwenye falsa ya kwamba dini zote zinamuabudu Mungu mmoja
huwa naachana naye hapo hapo. hivyo nimeishia kwenye kipengele hiki na karibia dini zote jambo ili linachukuliwa kuwa ni dhambi kubwa sana.
mwanzoni kabisa. nitaimiss hii makala
 
mkuu, tupe mistari na sio kusema tu. Mbona mwenzio ametoa mistari kutoka kwenye quran.

Huyo niliemwambia keshaelewa .......au kama bado atasema afahamishwe, naamini X-paster atampa mistari yakumtosha tu
 
Kwanza nadhani Waislam hawana mfumo wa dhambi zote ni sawa. Wao dhambi zina daraja, na hukumu za dhambi hizo ziko wazi (watu wanatakiwa wachukuwe hizo hukumu)

Pili, ikiwa tusihukumu, tusingepeleka wengine rumande kwa makosa ya kuiba na mengineyo kwa sababu hatujui wema gani wanafanya (maybe they are like Robinhood). Kwa hiyo kukaa tukasema tusihukumu hilo halipo, kama vitabu vimeandika matendo fulani ni dhambi, sisi kuyasema hayo matendo ni dhambi hatujahukumu, Mungu ndiye aliyehukumu kwa kutuambia kuwa hayo ni dhambi.

Ama kwa kuchukua hatua za kuwanyanyasa sio sawa, lakini kupigia kelele na kusema kuwa ni uovu hakuna ubaya.
Kuyaongelea sio kosa Gaijin, ila kama kweli tunaongea kwa maana ya kuleta mabadiliko tunatakiwa kusema ka ushahuri, sio kusema kwe kuhukumu. Mfano, nikiwa na rafiki yangu malaya malaya, siwezi kumwambia: on a mimi sio malaya, wewe ni malaya, unakosea. Hapo haiji kabisa.
Ila nikimwambia: umalaya ni mbaya kwa sababu hizi (kidini, kimaadili (awe na yeye anaikubali hiyo dini na hayo maadili), kiafya, kwa image yako in general etc)
Mwisho kabisa, dhambi katika uislam zina tofauti, ni kweli, ila hawajasema dhambi hii inarank wapi ukilinganisha na kuzini, kutembea nje ya ndoa, umalaya etc. Kwa hiyo mimi hadi sasa naichukulia at the level of dhambi zingine za ngono.
 
Kuyaongelea sio kosa Gaijin, ila kama kweli tunaongea kwa maana ya kuleta mabadiliko tunatakiwa kusema ka ushahuri, sio kusema kwe kuhukumu. Mfano, nikiwa na rafiki yangu malaya malaya, siwezi kumwambia: on a mimi sio malaya, wewe ni malaya, unakosea. Hapo haiji kabisa.
Ila nikimwambia: umalaya ni mbaya kwa sababu hizi (kidini, kimaadili (awe na yeye anaikubali hiyo dini na hayo maadili), kiafya, kwa image yako in general etc)
Mwisho kabisa, dhambi katika uislam zina tofauti, ni kweli, ila hawajasema dhambi hii inarank wapi ukilinganisha na kuzini, kutembea nje ya ndoa, umalaya etc. Kwa hiyo mimi hadi sasa naichukulia at the level of dhambi zingine za ngono.

Kwanza dhambi hizo ulizozitaja zina rank kwenye uislam

Ushoga na usagaji uko juu (ndo maana jamii nzima iligharikishwa na hakuna jamii ilogharikishwa kwa adultry)

Mbili kwenye rank inakuja anaefanya zinaa Hali yupo kwenye ndoa ( ndo maana adhabu yake ipo kubwa zaidi kuliko mzinifu aliye single)

Tatu ndo anakuja mzinifu asiye katika ndoa.

Na hata mtu awe na maisha mema kiasi gani akifanya dhambi ya zinaa anatakiwa ahukumiwe kwa dhambi hiyo bila ya kuangalia maisha yake sehemu nyengine ( na hiyo ndo hukumu ya Kiislam)

So kuwa kila mmoja wetu ana dhambi kwa hiyo asizungumze kuhusu hukumu zikizoainishwa tayari na Mungu ni makosa

Ni sawa na kumuona mwizi ukasema tusimhukumu (kidini) kwa vile ni mwema wakati mwengine.

Dini zinaruhusu mtu kuhukumiwa kwa Yale ambayo Mungu ameshayatolea hukumu
 
Kufanya ngono kinyume na maumbile siyo homosexuals tu hadi heterosexual couples,and it would appear the practice is spreading even among married couples.
 
Kusema ukweli, nimefanya kazi na mashoga kadhaa katika nchi mbalimbali. Nachotaka kueleza ni kwamba, hawa watu wako katika kila sehemu. Sitashangaa kama humu ndani baadhi yenu ni 'closeted'. Kwanza naomba uelewe jambo moja: Binadamu sio wanyama pekee wanaotabia ya kupendelea kufanya mapenzi na wanyama wa jinsia moja. Kwa listi kamili ya wanyama wote wenye tabia hii, gonga kwenye link hii: List of animals displaying homosexual behavior - Wikipedia, the free encyclopedia.

Wengi hapa mnatumia kitu tofauti kujielezea pointi zenu. Ni sawa sawa na mtu kutumia kijiko kulima halafu aseme baadae kuwa kulima shamba ni impossible kwa sababu kijiko hakiwezi kutumika. Kutumia kitabu cha dini ambayo tayari inapinga tabia fulani basi unakuwa biased. Cha pili, tuache double standards. Nina hakika baadhi yenu hapa mnafahamu wanaume/wanawake mitaani kwenu ambao kwa namna moja au nyingine anavutiwa zaidi na watu wa jinsia yake. Nakumbuka shule ya sekondari kuwa watu walikuwa wanamtamani mwanaume mwenzao walale naye. Hiyo tayari ni tabia ya homosexual. Tatu, tabia ya binadamu katika kutamani binadamu wenzake sio black & white kama mnavyotaka kuiweka. Fikiria tabia ya binadamu katika kutamaniana ni curved. Kwa kitaalamu inaitwa Kinsley scale. Katika ironic twist, sio kwamba watu wanatamani 100% watu wa jinsia tofauti bali ni huwa wanatamani watu wa jinsia zote mbili ila ni society ndio inawasukuma watamani jinsia moja zaidi kuliko nyingine. Kama ukichukua jamii ambayo haina idea ya homophobia, basi utaona kuwa sexuality inajionyesha kwa pande zote. Shida ni kwamba watu wengi mkifikiria mashoga, jambo la kwanza mnawaza kufirana. Hapo ndio unapokosea. Halafu, ukiangalia nchi nyingi ambazo tabia ya ushoga iko huru utagundua kuwa asilimia ya mashoga ni chini ya 1% ya adults wote. Kwa hiyo argument ya kuwa hakuna kuzaliana watoto haishiki maji. Mimi mwenyewe sidhani kuwa kuruhusu mashoga waoane ni idea nzuri Tanzania ila sioni sababu ya kuwapiga mawe. Kama watu wawili wamekuwabiliana, waache wafanye watakavyo ila mradi hakuna anayedhuriwa au kulazimishwa.

A lot more damage is done by people panicking than with the actual situation they panic over.

hiyo ni juhudi za binadamu ambao ni'advanced wanyama pori' kuhalalisha ushenzi wao kwa kutafuta matendo yao kati ya wanyama pori. KWA HIYO BASI BINADAM MKAMILIFU HAWEZI KUKUBALIANA NA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA ETI KWA VILE MBWA NAO WANAMAHUSIANO YA AINA HIYO. ni mtazamo unaotokana na matatizo ambayo sisi wenye busara ni budi tukae chini tutafiti tujue chanzo chake na namna ya kuwasaidia watu hawa.
 
Muda si mrefu tutasikia vilio vya uongo kutoka kwa mashoga kuwa wananyanyaswa ili kupata sapoti ya David Cameron.
 
Kwanza dhambi hizo ulizozitaja zina rank kwenye uislam
Ushoga na usagaji uko juu (ndo maana jamii nzima iligharikishwa na hakuna jamii ilogharikishwa kwa adultry)
Mbili kwenye rank inakuja anaefanya zinaa Hali yupo kwenye ndoa ( ndo maana adhabu yake ipo kubwa zaidi kuliko mzinifu aliye single)
Tatu ndo anakuja mzinifu asiye katika ndoa.
Na hata mtu awe na maisha mema kiasi gani akifanya dhambi ya zinaa anatakiwa ahukumiwe kwa dhambi hiyo bila ya kuangalia maisha yake sehemu nyengine ( na hiyo ndo hukumu ya Kiislam)
So kuwa kila mmoja wetu ana dhambi kwa hiyo asizungumze kuhusu hukumu zikizoainishwa tayari na Mungu ni makosa
Ni sawa na kumuona mwizi ukasema tusimhukumu (kidini) kwa vile ni mwema wakati mwengine.
Dini zinaruhusu mtu kuhukumiwa kwa Yale ambayo Mungu ameshayatolea hukumu
Kwa kweli sina utaalam mkubwa katika ufafanuzi wa dini ya kiislam ila leo ndio kuskia hiyo ranking. Itakua imefanyiwa baada ya Kur'an kuteremshwa (Bidaa)...
 
Kwa kweli sina utaalam mkubwa katika ufafanuzi wa dini ya kiislam ila leo ndio kuskia hiyo ranking. Itakua imefanyiwa baada ya Kur'an kuteremshwa (Bidaa)...

Huna utaalamu kisha unakata "fatwa" kuwa ni bidaa...unanchekesha
 
Even discussing ushoga kwangu ni evil....Kwani evil communication corrupts intents! Walaaniwe mashoga wote na washabiki wao maana wanaidhalilisha kazi njema ya uumbaji wa Mungu ambaye ametupa utashi na dhamira njema!
 
Back
Top Bottom