Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kwa nini maumivu ya talaka au kuachwa na mpenzi huwa machungu zaidi ya kifo?
Kawaida inapotokea kifo jamii nzima huhusika kwa kuwa ni suala la jamii nzima yaani msiba, watu wote wanakuja kulia na wewe, kuimba na wewe, kukuliwaza na zaidi hata kutoa michango mbalimbali kuhakikisha unakuwa na maisha.
Unapoachana na mpenzi wako au kupewa talaka hakuna mtu wa kuwa na wewe ni wewe peke yako (no shoulder to cry).
Hakuna mkusanyiko wa jadi, dini, jamii, tamaduni, marafiki au mtu wa kuja kukutia moyo na kuombeleza kuachwa bali wewe.
Unapoachana na mpenzi wako ni shida yako mwenyewe (lonely hell)
Unapoachwa na mpenzi au kupewa talaka hofu ya future huanza kukuwinda na unaanza kujiuloiza maswali kama vile nani anakuwa responsible kwa majukumu mbalimbali, nani atatunza watoto nani atakupa support ya kifedha.
Pia unapoachwa na mpenzi au talaka ukienda mtaani siku moja utakutana na yule alikuacha au achana naye na kama una hasira naye hali huwa mbaya zaidi ila kama ni kifo hutaonana naye.
Unapoachwa hisia zako hujigawa pande mbili ile inayosema unaweza kuwa na mahusiano mapya na ile inasema ukiwa na mahusiano mapya utaishia kuachwa kama mwanzo.
Kawaida inapotokea kifo jamii nzima huhusika kwa kuwa ni suala la jamii nzima yaani msiba, watu wote wanakuja kulia na wewe, kuimba na wewe, kukuliwaza na zaidi hata kutoa michango mbalimbali kuhakikisha unakuwa na maisha.
Unapoachana na mpenzi wako au kupewa talaka hakuna mtu wa kuwa na wewe ni wewe peke yako (no shoulder to cry).
Hakuna mkusanyiko wa jadi, dini, jamii, tamaduni, marafiki au mtu wa kuja kukutia moyo na kuombeleza kuachwa bali wewe.
Unapoachana na mpenzi wako ni shida yako mwenyewe (lonely hell)
Unapoachwa na mpenzi au kupewa talaka hofu ya future huanza kukuwinda na unaanza kujiuloiza maswali kama vile nani anakuwa responsible kwa majukumu mbalimbali, nani atatunza watoto nani atakupa support ya kifedha.
Pia unapoachwa na mpenzi au talaka ukienda mtaani siku moja utakutana na yule alikuacha au achana naye na kama una hasira naye hali huwa mbaya zaidi ila kama ni kifo hutaonana naye.
Unapoachwa hisia zako hujigawa pande mbili ile inayosema unaweza kuwa na mahusiano mapya na ile inasema ukiwa na mahusiano mapya utaishia kuachwa kama mwanzo.