Kimbojo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2009
- 387
- 54
Bunge liliwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri mitihani ya kidato cha sita kwa maana ya kuonesha ubora wa shule za kata. Mimi nina jiuliza kwanini hawakutafuta wanafunzi waliomaliza kidato cha nne na kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza?. hii ndio ingeakisi walau ubora wa shule za kata .Je kilichofanyika kina ukweli juu ya ubora wa shule za kata? ama nikuzikweza tu shule hizo?