Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,439
- 50,957
Sote ni binadamu, tuna mapungufu yetu lakini tuna mazuri yetu mengi
Huwezi kulitaja suala la kushambuliwa Lissu na mobilization ya Umma katika kujaribu kunusuru maisha ya Lissu bila kuwataja madada wawili, Mange Kimambi na Wema Sepetu.
Mange alitumia ushawishi wake mkubwa kuhimiza michango kwa ajili ya Lissu, binafisi nilichanga hela ndefu tu
Pia huwezi kumsahau mwanadada Wema Sepetu katika kumobilize michango kwa ajili ya Lissu
Kwa hakika nyinyi madada kuna wakati mlichukua responsibility kubwa sana kwa ajili ya kulitetea Taifa hili. Kwa hakika mchango wenu katika point ile ya wakati haitosahaulika!. Mlikuwa wanawake wa shoka kwelikweli!
Mlisimama pale wanaume wengi waliposhindwa
Mliweka pembeni muda wenu halali wa kujali mambo ya ulimbwende, mkasimama kulitaka Taifa liwe bora, la haki, uhuru. Na kwa hakika mlitimiza wajibu wenu
Pamoja na hali iliyowakumba sasa ya dissapointment, kujiweka mbali na struggle lakini kwa kuwa nyinyi ni mabinti wa Kiislamu na Mtume wenu alifundisha kuwa ukiona udhalimu uondoe kwa mkono wako, Kama huwezi Ukemee kwa kauli zako, na kama ukishindwa basi Chukia udhalimu huo japokuwa kuchukia bila action ni udhaifu wa kiimani! basi nawaomba huko mliko katika ukimya wenu muendeleze struggle kadri mtakavyoweza!. Udhalimu huwa hauishi kwa jaribio moja, struggle ya muda mfupi , kiufupi mtu anayeamini katika struggle inabidi mtu aendelee kustruggle hata kama amebaki yeye peke yake na wengine wote hawamuelewi.
Mwisho kabisa niseme tu
Nyie madada wawili, Asanteni sana kwa kazi ile mliyoifanya ya kusaidia kuokoa maisha ya Raisi ajaye ndugu Tundu Antipas Lissu
Pia namshauri ndugu Lissu kuendelea kuwashukuru madada hawa wawili regardless mitizamo yao ya kisiasa ya sasa au lifestyle waliyochagua!. Hawa ni maaskari wa miavuli waliokupigania kwa medani iliyotukuka!
Huwezi kulitaja suala la kushambuliwa Lissu na mobilization ya Umma katika kujaribu kunusuru maisha ya Lissu bila kuwataja madada wawili, Mange Kimambi na Wema Sepetu.
Mange alitumia ushawishi wake mkubwa kuhimiza michango kwa ajili ya Lissu, binafisi nilichanga hela ndefu tu
Pia huwezi kumsahau mwanadada Wema Sepetu katika kumobilize michango kwa ajili ya Lissu
Kwa hakika nyinyi madada kuna wakati mlichukua responsibility kubwa sana kwa ajili ya kulitetea Taifa hili. Kwa hakika mchango wenu katika point ile ya wakati haitosahaulika!. Mlikuwa wanawake wa shoka kwelikweli!
Mlisimama pale wanaume wengi waliposhindwa
Mliweka pembeni muda wenu halali wa kujali mambo ya ulimbwende, mkasimama kulitaka Taifa liwe bora, la haki, uhuru. Na kwa hakika mlitimiza wajibu wenu
Pamoja na hali iliyowakumba sasa ya dissapointment, kujiweka mbali na struggle lakini kwa kuwa nyinyi ni mabinti wa Kiislamu na Mtume wenu alifundisha kuwa ukiona udhalimu uondoe kwa mkono wako, Kama huwezi Ukemee kwa kauli zako, na kama ukishindwa basi Chukia udhalimu huo japokuwa kuchukia bila action ni udhaifu wa kiimani! basi nawaomba huko mliko katika ukimya wenu muendeleze struggle kadri mtakavyoweza!. Udhalimu huwa hauishi kwa jaribio moja, struggle ya muda mfupi , kiufupi mtu anayeamini katika struggle inabidi mtu aendelee kustruggle hata kama amebaki yeye peke yake na wengine wote hawamuelewi.
Mwisho kabisa niseme tu
Nyie madada wawili, Asanteni sana kwa kazi ile mliyoifanya ya kusaidia kuokoa maisha ya Raisi ajaye ndugu Tundu Antipas Lissu
Pia namshauri ndugu Lissu kuendelea kuwashukuru madada hawa wawili regardless mitizamo yao ya kisiasa ya sasa au lifestyle waliyochagua!. Hawa ni maaskari wa miavuli waliokupigania kwa medani iliyotukuka!