gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Yaani nilichoka kwa kweli maana ana kili kabisa kwamba ile ripoti ya uchunguzi wa mali za ccm imejaa ufisadi wa viongozi karibu wote wa ccm, anasema ndio maana hawajalishughulikia sababu yaliyomo katika ripoti ile yanatishaAisee-- kwahiyo amekiri kabisa kuwa chama chao kimejaza mafisadi papa". Halafu bado wananchi wa tz kauli kama hiyo waneifumbia macho..... no wonder hao majamaa wanawaona wa-Tanzania mazwazwa
Sent using Jamii Forums mobile app