Kupokea Ndege kufanywa ni tukio la kitaifa ni ushamba, tunachoreshana..

Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Inakuuma nini, wewe si rais wako ni mbowe.
Sasa huyu anakuhusu nini si mumuache aboronge ili mumuangushe mumuweke membe wenu au?

Kazi ya chadema imeporomoka toka chama cha upinzani, hadi genge la wambea watoa matusi mitandaoni loh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtapata tabu sana, kwan kuna ubaya gani rais akienda kuipokea.
Mbona Mwenyekiti wa taifa na Cabinet yake walienda kuzika mbwa wa Nassari lakini Ukerewe hawakwenda?
Kupanga ni kuchagua kama unaona ni vibaya rais kupokea lala tu nyumban au fanya mambo yako.
Hawa ba =VICHAA wameishiwa hoja sasa ni kupinga pinga tu.
Wao si wanaye rais wao mbowe!
Sasa huyu anawahusu nini kama sio bange tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi ila kwa mafanikio anayofikia mtu, watu au taasisi kila mmoja ana namna yake ya kufurahia.
Kama mtu anajenga nyumba akimaliza anaita watu kuzindua haimaanishi hakuna mtu ambaye hana nyumba ila ameona kwa mafanikio hayo basi afurahie kwa namna hiyo.
Ni aina tu ya namna ya kupokea jambo. Na kumbuka namna ya mapokezi ya jambo haiwezi ikawa sawa hata kidogo. Usiogope kufanya unayoyaamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masahihisho,Ethiopia wana Ndege 100+ zikiwemo bombandia 17,Boeing 737-700 na boeing 737-800,wana Boeing 787-8 na Boeing 787-9 na Airbus 350
Kenya wana ndege kama 35 or less zikiwemo boeing 787-8 (Dreamliner 7) Embrarer E190 ndege 15 na boeing 737-800
Asante Kiongozi kwa kuweka exact figures. Bado nimeangalia fleet size ya KQ kwenye source mbili. Moja inasema 40 na nyingine 44.
Bado issue yangu iko pale pale. Wangehitaji siku ngapi kuzipokea?
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Daah,naipenda sana nchi yangu,hua naitetea sometimes najua tunakosea ila ndo uzalendo huo,ila hizi party za kupokea ndege daah,sinui kwa nini naona kweli tunachoreshana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
teh teh teh teh..............................
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Vituko sn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?[/QUOTE

Acha tujidai kwa raha zetu na midege
yetu
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Sasa kaka tukiongozwa na mwanakijiji mshamba flan hivi unatarajia nini?
 
Mtapata tabu sana, kwan kuna ubaya gani rais akienda kuipokea.
Mbona Mwenyekiti wa taifa na Cabinet yake walienda kuzika mbwa wa Nassari lakini Ukerewe hawakwenda?
Kupanga ni kuchagua kama unaona ni vibaya rais kupokea lala tu nyumban au fanya mambo yako.
Huu ni ushamba man. Urais ni taasisi kubwa man. Kama kila kitu atapenda aonekane yeye, vipi wa chini yake? Wao wataonekana kwenye Nini?
 
No research No right to speak ndugu yangu kenya mwaka jana walivyo lounch direct flight to new york ilikuwa ni gumzo nchi nzima bro, hata ivyo wakati walipokea B787 dreamliners zao bro ilikuwa the same same kama kinachotokea bongo hata rwandaie wakati wanapokea zile airbus yao kubwa ilikuwa ni shamra shamra japo PK hakuhudhuria yy kwa hiyo hivi vitu bro ni kawaida kwa nchi zetu za dunia ya tatu
Ona unavyojichanganya!
 
Miaka mitatu ndege sita, hawaamini wanachokiona. Wivu unawatesa.
Mkuu tusaidie kujua Ethiopian Airline-please note:sisemi serikali ya Ethiopia,Ethiopian Airline iliwachukua miaka mingapi kununua ndege mia walizonazo sasa?unaruhusiwa pia compare resources walizonazo Ethiopian Airline VS Tazania Government
 
Mkuu tusaidie kujua Ethiopian Airline-please note:sisemi serikali ya Ethiopia,Ethiopian Airline iliwachukua miaka mingapi kununua ndege mia walizonazo sasa?unaruhusiwa pia compare resources walizonazo Ethiopian Airline VS Tazania Government
Kabla ya kufanya comparison kumbuka kuwa kilichoifanya ATCL isikue ilikuwa ni siasa za wanasiasa wa kibongo. Political will haikuwepo, sasa hivi ipo, sasa hivi kina Johari na Matinyi wapo huru kufanya kazi kitaalam.

Hapo ndipo JPM anapojitofautisha na waliomtangulia pale Magogoni. Kutambua maana ya utaalam wa mtu na umuhimu wake kwa taifa. Hizi ndege 100 tutakuja kuwanazo, cha muhimu tusiupoteze huu uhuru wa wataalam kufanya kazi wanayoijua vyema.
 
Mimi sio mpinga maendeleo. Ninasapoti kwa asilimia zote maamuzi chanya yenye lengo la kukuza uchumi wa taifa hili changa. Ukiwemo uamuzi huu wa kufufua Shirika la Ndege kwa kununua ndege 7. Kongole Serikali!

Hata hivyo, kuna mambo yanatutia aibu. Mojawapo ni hili la mapokezi ya hizi ndege kufanywa kuwa ni tukio special sana la kitaifa. Kwa lugha ya mtaani tunasema ni 'kuchoreshana'.

Kwa dunia ya sasa, hata kama tulikuwa hatuna, sio fahari kuitangazia dunia kwamba tunasubiri ndege airport, tena tukiongozwa na Rais!? Sijaona Kenya wakifanya, Ethiopia, South Africa, Nigeria, Rwanda na kokote kunakotuzunguka. Mambo gani haya?

Halafu mbaya zaidi, siku zote hizi za mapokezi ni lazima RAIS ahudhurie kama mgeni rasmi. Ni kuonesha kwamba it is our top priority for now as a nation. Really? Waziri na watu wachache wangetosha sana kutuwakilisha. Na hakuna ulazima wa kufanya live coverage kwenye redio na televisheni.

Huko baadae zitakuja treni za kisasa, tutafanya hivi pia?
Inanishangaza pia.Mambo madogo madogo hayo ni ya kuwaachia mawaziri wake tu.Kinachonishangaza zaidi ni kwamba utafikiri awamu zilizopita hazijafanya mambo makubwa zaidi ya haya anayoyafanya kwa namna anavyojitangaza.
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom