utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
Hilo gape unaliona wap wakat kila siku unapanda Champion kwenda kusalimia kondoa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo gape unaliona wap wakat kila siku unapanda Champion kwenda kusalimia kondoa huko
Mkuu kana kwamba uandishi huu unaufahamu?Mkuu una ' ID's ' ngapi humu?
Tukiwa tunasubiri ndege yetu ya airbus ya pili kuwasili, heko na shamra shamra za kuipokea zikiwa zinapamba moto, kuna baadhi watasema huo ni ushamba.
Lakini, ni kweli sherehe za kupokea ndege na kupiga picha ni ushamba?
Je sherehe zote zile ni kwa ajili ya ndege au kuna ziada?
Baadhi wanaweza hoji kuwa kinacho sheherekewa ni ushindi dhidi ya watu walioliuwa shirika letu la ndege. kwa hiyo kila ndege mpya inapokuja lazima kuwe na kumbukumbu ya kuwachoma wale waliotaka kulimaliza shirika letu.
Mwingine anaweza kusema kila ndege inapouja kuna "shujaa" anaye ambatanishwa na shughuli. Mfano mhadisi aliyeshiriki kuitengeneza Dreamliner au kapteni aliyeitorosha ndege toka Kenya. Hawa walionesha kuwa watanzania wanauthubutu wa kufanya mambo makubwa, na hivyo kwa kutumia sherehe hiyo tunakumbushwa kuwa tunaweza.
Pia sherehe zinaweza kuwa ni kwa ajili ya kuonesha watanzania jinsi kodi zao zinavyotumika. Ni vigumu kuwapa moyo walipakodi kama hawaoni matunda ya kodi zao. Sasa wakiona dude linatua, wanapata fahari ya kuona jinsi walivyoshiriki katika ujenzi wa Taifa lao.
Mwisho, Kunaweza kuwa na tafsiri nyingine nyingi tu za nini hasa maana ya sherehe hizi kubwa za kupokea ndege.
Je unafikiri sherehe hizi ni ushamba?
Tena ni ushamba uliopitilizaTukiwa tunasubiri ndege yetu ya airbus ya pili kuwasili, heko na shamra shamra za kuipokea zikiwa zinapamba moto, kuna baadhi watasema huo ni ushamba.
Lakini, ni kweli sherehe za kupokea ndege na kupiga picha ni ushamba?
Je sherehe zote zile ni kwa ajili ya ndege au kuna ziada?
Baadhi wanaweza hoji kuwa kinacho sheherekewa ni ushindi dhidi ya watu walioliuwa shirika letu la ndege. kwa hiyo kila ndege mpya inapokuja lazima kuwe na kumbukumbu ya kuwachoma wale waliotaka kulimaliza shirika letu.
Mwingine anaweza kusema kila ndege inapouja kuna "shujaa" anaye ambatanishwa na shughuli. Mfano mhadisi aliyeshiriki kuitengeneza Dreamliner au kapteni aliyeitorosha ndege toka Kenya. Hawa walionesha kuwa watanzania wanauthubutu wa kufanya mambo makubwa, na hivyo kwa kutumia sherehe hiyo tunakumbushwa kuwa tunaweza.
Pia sherehe zinaweza kuwa ni kwa ajili ya kuonesha watanzania jinsi kodi zao zinavyotumika. Ni vigumu kuwapa moyo walipakodi kama hawaoni matunda ya kodi zao. Sasa wakiona dude linatua, wanapata fahari ya kuona jinsi walivyoshiriki katika ujenzi wa Taifa lao.
Mwisho, Kunaweza kuwa na tafsiri nyingine nyingi tu za nini hasa maana ya sherehe hizi kubwa za kupokea ndege.
Je unafikiri sherehe hizi ni ushamba?
ni nchi gani nyingine iliyonunua ndege ukaona inasherehekea kishamba namna kama mnayosherehekea nyinyi ?Haiwez ikawa ushamba mana naona ni njia moja yapo ya mkuu wa nchi kuwaambia wananchi wake mafanikio anayowaletea ndo mana unaona hotuba ya rais huwa anaongea mengi hata nje ya TUKIO lenyew kuwambia hiki ni kidogo vingi nafanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kawaida hata nyumbani kwako ukinunua hata jagi jipya unakuwa na furaha,ndivyo tulivyo binaadamu.
Anayeona ji ushamba huwenda hajui ushamba ni nini.
Nadhani kuna maana Zaidi ya kushangilia. Kama ni mali yako utashangilia. Kama si yako hutafanya hivyo. Hebu fikiria umeagiza gari toka Japan kupitia kampuni ya Be forward, na mara unaambiwa njoo gari yako imefika bandari ya Dar es Salaam. Utanuna? Basi kupokea ndege kwa mbwembwe ambayo hatujaikodi wala kuazimwa si ushamba.Mimi nipo jirani na tv nasubiria muda ufike Ndege yeetu....ile...paaale....ndege...yeeetu...ile..paale
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaonesha nyie vipingamizi mnaosambaza chuki katika jamiini nchi gani nyingine iliyonunua ndege ukaona inasherehekea kishamba namna kama mnayosherehekea nyinyi ?
Mimi nipo jirani na tv nasubiria muda ufike Ndege yeetu....ile...paaale....ndege...yeeetu...ile..paale
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mwanaume ajinafasi kwa ahadi za kweli alizotuahidi wapiga kura wake hutaki kuangalia tune hata wasafi TV uangalie ule wimbo unaoupenda WA Mwanza nyegezi....Upo sahihi, tunaonekana washamba sana, waziri alikuwa anatosha, Rais alipopokea dreamliner ilitosha kabisa. Sasa kila ndege tunapokea nama coverage kibao. Duh!!
Mambo yanayofanywa na awamu ya tano in tofauti kabisa nayaliyo wahi kufanywa na awamu nyingine! Hivyo muyazoee. Ni awamu gani walifanya maendeleo makubwa wakitumia hela yao ya ndani? Rais kutosafiri nje ovyo ovyo, nk. Msilinganishe in tofauti na nchi nyingine pia.Ni aibu kweli. Hata enzi za Nyerere tukiwa 'machokoraa' haikuwahi kufanyika hii.
Waende ukerewe muwapije risasi?Mtapata tabu sana, kwan kuna ubaya gani rais akienda kuipokea.
Mbona Mwenyekiti wa taifa na Cabinet yake walienda kuzika mbwa wa Nassari lakini Ukerewe hawakwenda?
Kupanga ni kuchagua kama unaona ni vibaya rais kupokea lala tu nyumban au fanya mambo yako.