Cathsandra
Member
- Jul 11, 2016
- 17
- 51
Kupitia tukio la leo la mechi ya Yanga na Simba nimejifunza kitu,
HEBU TAZAMA;
1.Wasanii wa muziki wanalalamikia BASATA
2.Wasanii wa Filamu wanalamikia bodi ya filamu
3.Mpira wa miguu tatizo TFF iliyo chini ya BMT
Hizi taasisi zote zipo chini ya wizara ya habari,sanaa na michezo,ninachojiuliza hii wizara ina shida gani,kuna nn nyuma ya pazia
HEBU TAZAMA;
1.Wasanii wa muziki wanalalamikia BASATA
2.Wasanii wa Filamu wanalamikia bodi ya filamu
3.Mpira wa miguu tatizo TFF iliyo chini ya BMT
Hizi taasisi zote zipo chini ya wizara ya habari,sanaa na michezo,ninachojiuliza hii wizara ina shida gani,kuna nn nyuma ya pazia