mangosongoo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 257
- 455
Ushauri wangu kwa mabinti ambao wanajiona ndo basi tena haiwezekan ..kupitia harus ya Meghan ujifunze kitu .kuachwa,kuachika,kuzalishwa,kuchelewa kuolewa haimanishi hapo ndio mwisho hell no hapo ulipokata tamaa ndipo mungu anapoanzia..wew ni wathaman sana usijidharau!!!
NIMEGUSWA KUWATIA MOYO WANAWAKE .@MRS FLAN.
NIMEGUSWA KUWATIA MOYO WANAWAKE .@MRS FLAN.