Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,267
Ok sawa mkuuu..nmesasikiraibu huu uziDaaah!. SIWEZI kuanzisha Uzi kaka!.
Nitashindwa kuusimamia!..
Ok sawa mkuuu..nmesasikiraibu huu uziDaaah!. SIWEZI kuanzisha Uzi kaka!.
Nitashindwa kuusimamia!..
Mkuuu nahitaji sana sana kuelewa njia zako mpaka hapo ulipo .Kutokana Na ushaur wa Putin:
Naomba nifupishe/niache story!.
Lakini kubwa zaidi nilitaka kuelezea kuwa jinsi Gani
UVUMILIVU & UPENDO WA DHATI,
Ulivyokuwa Na nguvu katika mahusiano Na ndoa!..
Coz pasipo UVUMILIVU/upendo nadhan mke wangu angenikimbia!.
But kwa UVUMILIVU wake Na upendo umemfanya awe Royal Na kuwa mtu MUHIMU katika nafasi yake!..
Wito!.
MUHIMU kumvumilia mtu wako!.
Siyo lazima uolewe Na tajiri/mtt wa mfalme/Waziri/RAIS
Ukiwa mke au mume Bora
Unaweza kumfanya
Mkeo awe raisi /mumeo awe mbunge whatever!.
Hata mama Anna mkapa hakuwah kuwaza /kufikiri kama mkapa siku moja atakuwa RAIS!.
Mtengeneze mtu wako!...
Mkuuu andika uzi aseee ... You never know ,kuna mahali fulan ukawa umebadili maisha yamtu.Karibu hata kwa ushaur Na mengineyo!.
Coz Nina mengi ya kusema Ila ndiyo hivyo
Go ahead bana weee vipi..!Ok.Nitaendeleza badaee .!.
Ila mvumile uandishi wangu!
Katika jambo ambalo siwezi kufanya ni kuwadhalilisha wanawake.Tuna pesa zetu nyingi tu!
Acha kudhalilisha wanawake ndugu yangu
Mkuu Uzi niandike jukwaa Gani?!Mkuuu andika uzi aseee ... You never know ,kuna mahali fulan ukawa umebadili maisha yamtu.
Aaah we jamaa umekatisha story ikiwa kwenye chorusKutokana Na ushaur wa Putin:
Naomba nifupishe/niache story!.
Lakini kubwa zaidi nilitaka kuelezea kuwa jinsi Gani
UVUMILIVU & UPENDO WA DHATI,
Ulivyokuwa Na nguvu katika mahusiano Na ndoa!..
Coz pasipo UVUMILIVU/upendo nadhan mke wangu angenikimbia!.
But kwa UVUMILIVU wake Na upendo umemfanya awe Royal Na kuwa mtu MUHIMU katika nafasi yake!..
Wito!.
MUHIMU kumvumilia mtu wako!.
Siyo lazima uolewe Na tajiri/mtt wa mfalme/Waziri/RAIS
Ukiwa mke au mume Bora
Unaweza kumfanya
Mkeo awe raisi /mumeo awe mbunge whatever!.
Hata mama Anna mkapa hakuwah kuwaza /kufikiri kama mkapa siku moja atakuwa RAIS!.
Mtengeneze mtu wako!...
Mkuu endelea bwanaMkuu!. Nilifupishwa Na Putin!.
Ila naweza kuendeleza Pm
nae ataolewa lini?Bongo kuna mwana mfalme mmoja tu Bashite
Naendelea badaeeMchawi mkuu endelea basi....
Fanya hivyo boss...Naendelea badaee
Now nimetingwa!.
Also ile inshu yetu nitakuja kuifufua now mambo mengi