Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,514
- 37,911
Mimi tayari muda mrefuNiambie Ndugu upo? Umesikia Afande Charles Mbuge Nyota inavyozidi Kung'aa tu Kwake kwa mwaka huu wa 2019? Bado Mimi na Wewe tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi tayari muda mrefuNiambie Ndugu upo? Umesikia Afande Charles Mbuge Nyota inavyozidi Kung'aa tu Kwake kwa mwaka huu wa 2019? Bado Mimi na Wewe tu!
Unaeleza mambo meeengi bila point ya msingi.sio kila mtu anamjua huyo mtu wala background yake hivyo ingekua busara kama ungeweka hapa history yake watu waisome kisha waunganusge na mawaidha yako hayo.Au ww ndio huyo afande unayazungumzia yalio ujaza moyo wako???Mwenyezi Mungu akikupangia Jambo lako litakuwa tu hata kama kuna Watu wanakuchukia, wanakusambazia maneno mabaya, wanakuzushia, wanakuchafua na hata wengine wanaweza wakawa wanataka Kukuua kwakuwa wanakuona Wewe ni Tishio Kwao ama kwa huo muda au kwa baadae kupitia Nafasi zao ( Vyeo vyao )
Na huyu Afande nahisi Mwenyezi Mungu anazidi Kumfungulia njia za Mafanikio na Kumpa Baraka nyingi kwakuwa huwa hajui Kulipiza Kisasi bali humuachia kila Kitu Mola / Maulana. Na alivyo Muungwana kila alipokuwa akipangiwa kwenda Kufanya Kazi zake ( Kituo cha Kazi ) kama njia ya ' Kumkomoa ' ndiyo Kwanza alikuwa hakatai, anaonyesha Ushirikiano na huko atakapokuwa alikuwa akichapa Kazi hata kuliko pale alipokuwepo awali.
Maisha ya Kikazi / Kimajukumu ya Afande Charles Mbuge yawe ni Somo Kwetu hasa huko sehemu zetu za Kujipatia Riziki.
Mipasho ya kike kike hii.Kwani lazima? Na kwanini unaonekana Kuteseka sana na Mafanikio ya ghafla na Kuinuliwa Kimamlaka kwa Afande Charles Mbuge Ndugu? au na Wewe ndiyo wale wale mliokuwa mkinyanyasa Baba wa Watu Kipindi kile alipokuwa pale Mlalakuwa na hadi alivyohamishiwa Ruvu? Basi kwa sasa ndiyo mtamkoma na Mwenyezi Mungu anawaumbueni hapa hapa kwa Kumuinua na nyie Kubakia hapo hapo. Tubuni upesi na muanze Kujipanga Kupanga Mistari ya kwenda Kumuomba Msamaha. Mna bahati Baba wa Watu huwa hana Malipizi ( Visasi ) ila hili ' Zali ' ndiyo lingenikuta Mimi ' Maadui ' zangu wote mngenikoma na ndipo mngejua ni kwanini Wimbo wa Taifa hadi leo hauna Video na kwanini Nyoka hana Ugoko.
Hata Mimi ameniacha hewani mkuu.Unaeleza mambo meeengi bila point ya msingi.sio kila mtu anamjua huyo mtu wala background yake hivyo ingekua busara kama ungeweka hapa history yake watu waisome kisha waunganusge na mawaidha yako hayo.Au ww ndio huyo afande unayazungumzia yalio ujaza moyo wako???
Kwa kifupi ni kwamba habar haija balance.Kama ni uandishi basi huu ndio ule unaoitwa UKANJANJAHata Mimi ameniacha hewani mkuu.
Kama ameamua kuleta mada humu aandike kitu kilichokuwa full sio kuweka kitu nusunusu kwa kusifia tu,kunung'unika tu,kuwaponda na kuwalaani wasiojulikana na kwa makosa yasiojulikana.
Hii ni kutuacha njia panda.
Kwa kifupi ni kwamba habar haija balance.Kama ni uandishi basi huu ndio ule unaoitwa UKANJANJA
Hata Mimi ameniacha hewani mkuu.
Kama ameamua kuleta mada humu aandike kitu kilichokuwa full sio kuweka kitu nusunusu kwa kusifia tu,kunung'unika tu,kuwaponda na kuwalaani wasiojulikana na kwa makosa yasiojulikana.
Hii ni kutuacha njia panda.
Mipasho ya kike kike hii.
Wenzenu tukikuta sehemu tunasemwa kwa ubaya wetu tulioufanya au kumfanyia mtu huwa tunakauka hatutii neno ndio maana ya uvumilivuSort of MAJUNGU
kunyanyasika
kudharauliwa
kuchukiwa... na nani?
Weka hapa hizo chuki , majungu na dharau,,,
Ukishindwa,, basi nakwambia "ACHA MAJUNGU"
Unaeleza mambo meeengi bila point ya msingi.sio kila mtu anamjua huyo mtu wala background yake hivyo ingekua busara kama ungeweka hapa history yake watu waisome kisha waunganusge na mawaidha yako hayo.Au ww ndio huyo afande unayazungumzia yalio ujaza moyo wako???
Sawa Kamanda, hongera kwa uteuziKwani lazima? Na kwanini unaonekana Kuteseka sana na Mafanikio ya ghafla na Kuinuliwa Kimamlaka kwa Afande Charles Mbuge Ndugu? au na Wewe ndiyo wale wale mliokuwa mkinyanyasa Baba wa Watu Kipindi kile alipokuwa pale Mlalakuwa na hadi alivyohamishiwa Ruvu? Basi kwa sasa ndiyo mtamkoma na Mwenyezi Mungu anawaumbueni hapa hapa kwa Kumuinua na nyie Kubakia hapo hapo. Tubuni upesi na muanze Kujipanga Kupanga Mistari ya kwenda Kumuomba Msamaha. Mna bahati Baba wa Watu huwa hana Malipizi ( Visasi ) ila hili ' Zali ' ndiyo lingenikuta Mimi ' Maadui ' zangu wote mngenikoma na ndipo mngejua ni kwanini Wimbo wa Taifa hadi leo hauna Video na kwanini Nyoka hana Ugoko.
Siwezi kuteseka kwa sababu huyo mtu unayemtaja Mimi nilikuwa simjui.Kwanini unateseka Ndugu?
Hata shuleni au vyuoni Kuna waliokwenda kusoma wakijua kabisa Nini maana ya elimu na Kuna wengine wao wamefuata vyeti hao watakipata hata kwa kununua au kwa njia yoyote ile na pia Kuna wasindikizaji hao sasa ni shida hata iweje watanyoosha mkono na kusema hawaelewi inabidi tuwe nao na tuwaeleweMpaka umesoma Uzi wote huu na ukaamua Kuujibu hivi ina maanisha kuwa hiyo ' point ' ya Msingi umeshaielewa labda tu uwe na Akili za ' Kipa Katoka ' ndiyo unaweza usielewe.
Mbuge ni Mkali sana lakin ana huruma sana
Nmewahi kumtimbia kwake Kinyerezi kwa shida yangu binafsi na alinisaidia japo hanijui na baadhi ya watu walinisha kuwa atanizingua lakin alinipokea kama Mzee wake na akanipa msaada zaid ya niliouhitaji
Mungu ambaarik kwny kazi zake amuondolee Husda na vijicho
Mwenyezi anakubali wote wadhambi na wasio wadhambi!!....acha xenophobiaUkiona An Eagle namkubali Mtu tu jua ya kwamba 99% yupo vizuri na hata Mwenyezi Mungu nae pia anamkubali.
Mwenyezi anakubali wote wadhambi na wasio wadhambi!!....acha xenophobia