Hata mimi naonaUshauri wa bure; Ukitaka kuoa/kuolewa kisha ikatokea ndugu/wazazi upande wa pili wakaweka pingamizi lolote USIOE/KUOLEWA TENA
Achana na maneno sijui mnaoana nyie, hilo halipoo ndoa ni taasisi na ni mali ya jamii sio yenu, vyenu ni hizo nyeti tu.
😂 😂 😂 😂3. Mtoa mada amesimulia story yake binafsi huku akidanganya ni ya Rafiki yake mara ndugu wa karibu na kusababisha story isieleweke