Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi naonaUshauri wa bure; Ukitaka kuoa/kuolewa kisha ikatokea ndugu/wazazi upande wa pili wakaweka pingamizi lolote USIOE/KUOLEWA TENA
Achana na maneno sijui mnaoana nyie, hilo halipoo ndoa ni taasisi na ni mali ya jamii sio yenu, vyenu ni hizo nyeti tu.
😂 😂 😂 😂3. Mtoa mada amesimulia story yake binafsi huku akidanganya ni ya Rafiki yake mara ndugu wa karibu na kusababisha story isieleweke