Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba AFYA NDIO MTAJI WA NCHI KUJIENDESHA;
Ndio, yaani inabidi huduma za afya zitolewe bure na zigaramiwe na serikali.
Serikali za dunia mpaka sasa zimeshuhudia hasara kubwa sana kutokana na janga la CORONA, kwamba watawaliwa hawafanyi kazi, mfano shule zimefungwa na mikusanyiko ya hela hakuna n.k
Hii inamaana kwamba HAKUNA UZALISHAJI HUKU SERIKALI ZIKITEGEMEA KODI.
Sasa serikali zinaingia gharama za kununua madawa kwa bajeti isiyopangwa.
Maana yangu ni kwamba Serikali za dunia kama zitagaramia huduma zote za afya haswa matibabu ya KANSA, FIGO, UPASUAJI MBALI MBALI na magonjwa yote MAKUBWA KAMA MOYO, maana yake ingetengeneza mtaji afya wa walipa kodi wengi ambao wasingepoteza muda wao kuhangaika na matibabu badala yake wanapona wanaingia mtaani.
Mfano niliwahi kuisikia taasisi 1 ya moyo inasema 'KUTIBU MOYO HUANZIA MILIONI 15- 30'
Rafiki yangu mmoja alienda India akatibiwa figo kwa milioni 36 jumlisha nauli n.k
SERIKALI ZA DUNIA HASWA ZA AFRIKA ZITOE MATIBABU BURE KWA WANANCHI WAKE, NCHI KAMA TANZANIA INAWEZA KABISA KWA KUTUMIA RASILIMALI WALIZO NAZO.
(kuna wakati nikitumia sanitaza huwa naandika point)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, yaani inabidi huduma za afya zitolewe bure na zigaramiwe na serikali.
Serikali za dunia mpaka sasa zimeshuhudia hasara kubwa sana kutokana na janga la CORONA, kwamba watawaliwa hawafanyi kazi, mfano shule zimefungwa na mikusanyiko ya hela hakuna n.k
Hii inamaana kwamba HAKUNA UZALISHAJI HUKU SERIKALI ZIKITEGEMEA KODI.
Sasa serikali zinaingia gharama za kununua madawa kwa bajeti isiyopangwa.
Maana yangu ni kwamba Serikali za dunia kama zitagaramia huduma zote za afya haswa matibabu ya KANSA, FIGO, UPASUAJI MBALI MBALI na magonjwa yote MAKUBWA KAMA MOYO, maana yake ingetengeneza mtaji afya wa walipa kodi wengi ambao wasingepoteza muda wao kuhangaika na matibabu badala yake wanapona wanaingia mtaani.
Mfano niliwahi kuisikia taasisi 1 ya moyo inasema 'KUTIBU MOYO HUANZIA MILIONI 15- 30'
Rafiki yangu mmoja alienda India akatibiwa figo kwa milioni 36 jumlisha nauli n.k
SERIKALI ZA DUNIA HASWA ZA AFRIKA ZITOE MATIBABU BURE KWA WANANCHI WAKE, NCHI KAMA TANZANIA INAWEZA KABISA KWA KUTUMIA RASILIMALI WALIZO NAZO.
(kuna wakati nikitumia sanitaza huwa naandika point)
Sent using Jamii Forums mobile app