Mzee Mwanakijiji
Kwanza nakupongeza barua hii uliyoandika kwa umakini mkubwa.
Pili, nashauri wakati tume inaendelea kuifanyia kazi, uitume kwa vyombo vya habari- hasa magazeti yenye nia njema kwa nchi yetu yanayowafikia wengi, kama bado hujafanya hivyo. Ili mawazo mazuri haya uliyoibua yawafikie wengi mapema iwezekanavyo.
Kwanza nakupongeza barua hii uliyoandika kwa umakini mkubwa.
Pili, nashauri wakati tume inaendelea kuifanyia kazi, uitume kwa vyombo vya habari- hasa magazeti yenye nia njema kwa nchi yetu yanayowafikia wengi, kama bado hujafanya hivyo. Ili mawazo mazuri haya uliyoibua yawafikie wengi mapema iwezekanavyo.
Last edited by a moderator: