analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Mheshimiwa J.P.Magufuli, akisoma bajeti ya wizara ya Mifugo na Uvuvi 2010/2011, alitoa hoja ya kuundwa chombo kitakacho dhibiti idadi cha mifugo ambayo mfugaji anaweza kumiliki.
Waheshimiwa wabunge, hasa wale wanaotoka kwenye jamii za wafugaji, waliipinga hoja hii kwa nguvu zao zote, na kuhakikisha kuwa inaondolewa.
Swali ni Je!? kupingwa kwa hoja hii, kulizingatia maslahi ya kisiasa au maslahi ya wananchi na ustawi wa jamii kwa ujumla?
Hoja hii ingepita ingewanufaisha vipi jamii ya wafugaji, au ingewaathiri vipi?
Waheshimiwa wabunge, hasa wale wanaotoka kwenye jamii za wafugaji, waliipinga hoja hii kwa nguvu zao zote, na kuhakikisha kuwa inaondolewa.
Swali ni Je!? kupingwa kwa hoja hii, kulizingatia maslahi ya kisiasa au maslahi ya wananchi na ustawi wa jamii kwa ujumla?
Hoja hii ingepita ingewanufaisha vipi jamii ya wafugaji, au ingewaathiri vipi?