sajosojo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 1,017
- 619
rasimu imetoka ikiwa na mapendekezo juu ya serikali 3 tu, hakuna njia nyingine ya kupinga zaidi ya kuikataa rasimu yote or kuunga mkono serikali tatu na kuziboresha zaidi i.e hizi serikali za zanzibar na tanzania bara ziongozwe na waziri mkuu or gavana japo kwa ccm ni ngumu kumeza