Kijana mdogo nini, mjibu swali lake.Hahahaha
Kijana mdogo una shida kweli kweli walahi
Kijana mdogo nini, mjibu swali lake.Hahahaha
Kijana mdogo una shida kweli kweli walahi
sure mkuu ni afadhari tuwarudishe wakoloni weusi waje wawe wanatucharaza bakora maana tumeshindwa kabisa kujiongozaKabila "Kongo kwanza hayo mengine baadae" fisi ni fisi tu, awezi kuwa kondoo. Viongozi wa kiafrika wote wanafanana haijalishi anatoka upinzani au chama tawala, wote ni mafisi.. BORA TU AMANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mamlaka ya kujumlisha kura walipewa na nani tena wakaleta mpaka raia wa kigeni kuja kufanya hujuma matokeo ya kura tunambiwa mwenye mamlaka ni tume tu nec ndiyo wanaruhusiwaHata Lowasa alishinda
Kama alishindwa Kwanini vyombo vya usalama viliwakamata wale vijana wa kuhesabu matokeo hofu ninini ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona CCM walikuwa na poll center yao pale mlimani city na hadi january akatangaza magufuli anaongoza kwa mbali sana ilihali tume ilikuwa haijatoa matokeo hata 20% ila hamkuhoji?? Hao wageni si consultants tu wa IT na ndio maana mlipofungua kesi wakakutwa hawana hatia yeyote sasa hizi tuhuma za kupika data umezitoa wapi?? Ina maana unajua sana hiyo kesi kuliko mahakama iliowaachia huru??Hayo mamlaka ya kujumlisha kura walipewa na nani tena wakaleta mpaka raia wa kigeni kuja kufanya hujuma matokeo ya kura tunambiwa mwenye mamlaka ni tume tu nec ndiyo wanaruhusiwa
Lowassa alishinda hilo hata CCM wanalifahamu watafute viongozi wake kina kinana hao ukae nao watakupa ukweli wa mambo usisubiri mitandaoni huku..... Ni wazi CCM ilichukiwa sana 2015 hata kampeni zilionyesha hivo na hata kura alizopata lowassa kwa mujibu wa NEC haikuwahi patikana tokea uhuru kwa wapinzani so hatuhitaji kudebate kufeli kwa CCM.Hivi wewe unamini kabisa Lowassa alishinda?
Ukweli ni kwamba kule upande pili ukivuka maji kuna uwezekano asilimia kama zote vile Jecha alitengeneza picha kama la Tshisekedi la DRC.
Unaweza ukawa na kosa na ukaachiwa huru kwa kuhonga pesa au ushahidi wa kukutia hatiani ukakosekanaMbona CCM walikuwa na poll center yao pale mlimani city na hadi january akatangaza magufuli anaongoza kwa mbali sana ilihali tume ilikuwa haijatoa matokeo hata 20% ila hamkuhoji?? Hao wageni si consultants tu wa IT na ndio maana mlipofungua kesi wakakutwa hawana hatia yeyote sasa hizi tuhuma za kupika data umezitoa wapi?? Ina maana unajua sana hiyo kesi kuliko mahakama iliowaachia huru??
Lowassa hakushinda.Lowassa alishinda hilo hata CCM wanalifahamu watafute viongozi wake kina kinana hao ukae nao watakupa ukweli wa mambo usisubiri mitandaoni huku..... Ni wazi CCM ilichukiwa sana 2015 hata kampeni zilionyesha hivo na hata kura alizopata lowassa kwa mujibu wa NEC haikuwahi patikana tokea uhuru kwa wapinzani so hatuhitaji kudebate kufeli kwa CCM.
Kuhusu zanzibar mtego uliowekwa ni kumpa viti kibao baraza la wawakilishi alafu Urais wakamnyima so mtego ukawa akikubali matokeo ya wawakilishi itambidi akubali na ya Urais na akikataa ya Urais basi akatae na uwakilishi..... Mjanja sana kaepuka huo mtego akawaachia uchaguzi wenu na kipi kimebadilika zanzibat toka awaachie chama chenu?? Mmesolve kero za muungano? 2020 mtawaeleza nini wazenji??
CCM na kabila hawama tofauti wamezidiana mbinu tu
Kosa la mpemba he didn't know how to play by the rules of the game.Lowassa alishinda hilo hata CCM wanalifahamu watafute viongozi wake kina kinana hao ukae nao watakupa ukweli wa mambo usisubiri mitandaoni huku..... Ni wazi CCM ilichukiwa sana 2015 hata kampeni zilionyesha hivo na hata kura alizopata lowassa kwa mujibu wa NEC haikuwahi patikana tokea uhuru kwa wapinzani so hatuhitaji kudebate kufeli kwa CCM.
Kuhusu zanzibar mtego uliowekwa ni kumpa viti kibao baraza la wawakilishi alafu Urais wakamnyima so mtego ukawa akikubali matokeo ya wawakilishi itambidi akubali na ya Urais na akikataa ya Urais basi akatae na uwakilishi..... Mjanja sana kaepuka huo mtego akawaachia uchaguzi wenu na kipi kimebadilika zanzibat toka awaachie chama chenu?? Mmesolve kero za muungano? 2020 mtawaeleza nini wazenji??
CCM na kabila hawama tofauti wamezidiana mbinu tu
Mkuu ndio maana nikauliza mbona January alimtangaza magufuli kushinda hata kabla hajatangazwa rasmi na NEC ila sikusikia uchaguzi bara ukifutwa huoni kuna double standard hapaKosa la mpemba he didn't know how to play by the rules of the game.
Umewasikia kanisa katoliki DRC na Fyalu walisema nani kashinda kabla ya tume iliyopewa mamlaka kisheria kutangaza matokeo?
Fyalu alijua akijitangaza tu imekula kwake, angepigwa technical knock out(KO) kama alivyopigwa Maalim na Jecha.
Waliomshauri Maalim ajitangaze ndio walimuingiza chaka akatoa boko kwa CCM na Jecha wao.
Alichofanya Jecha kwenda kwenye kitabu cha sheria zao za uchaguzi kama vile refarii anaenda kurejea tukio kwenye kibanda cha VAR. Kwishaa kazi.
Kama CHADEMA ndio walimshauri vile Maalim walimponza sana. Alitoa uhalali wa kufanyiwa unyama kwa kutumia sheria halali kabisa.
Unajua ni hivi huwezi kufanya kosa kisha mahakamani ukajitetea kwamba mbona fulani nae alifanya hajashitakiwa au mwaka juzi mbona nilifanya kosa kama hili lakini sikushitakiwa!Mkuu ndio maana nikauliza mbona January alimtangaza magufuli kushinda hata kabla hajatangazwa rasmi na NEC ila sikusikia uchaguzi bara ukifutwa huoni kuna double standard hapa
Pia katika sababu kubwa aliotoa Jecha kufuta uchaguzi alisema ni vurugu kwenye chumba cha kujumuishia matokeo na fomu za matokeo kufutika futika sasa hayo ya maalim kujitangaza mbona hakuyasema kma ndio sababu ya msingi? We umeyatoa wapi??
Dk slaa 2010 alijitangaza kushinda Urais na alisema ana ushahidi wote mbona hamkufuta matokeo?? Hata lowassa alidai ana 68% ya kura na alidemand atangazwe na NEC ila mbona uchaguzi hukufutwa?? 2005 maalim seif pia alijitangaza kashinda hata kabla ya uchaguzi mbona uchaguzi hukuftwa au unafutwa pale tu anaposhinda mpinzani? Tuwe objective mkuu