Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,580
Huwa mnatabia za kuchakachua majibu wala si uongo yaani bora kupima nje ya nchiMatokeo ya DNA ni 100% sahihi. Ni matokeo ya Maabara sio ya Ustawi wa Jamii.
Nimeshasimamia zaidi ya vipimo 30, vipo vilivyoleta majibu 99.99% na 0.00%.
Wengi wa wateja hufuata hatua za upimaji wakiwa tayari na imani kuwa majibu yatakuwa (-). Na hushtushwa na kuwa (+). Hii ni kutokana na tabia binafsi za wenzi wao au historia ya mahusiano yao.
Mshauri jamaa alee mtoto tu.