Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

Kuwa unaanza na maji kidogo pia moto usiwe mkali. Yakikauka ukiona bado unaongeza kidogo kwakuyasambaza. Alafu kugeuza jitahidi kugeuza kidogo kidogo,usigeuze kama unavyofanya ugali. . . ikibidi tafuta ile miiko ambayo iko kama uma utakusaidia sana kwenye kugeuza.

Alafu nawanaona mnavyonitupia madongo we na Kongosho.

...ohooo,....nishaandaa maji na mchele hapa, maji kidogo ndio kiasi gani?...na kikombe kimoja cha mchele.
Leo mpaka namimi nichemshe pilau yangu hapa!...
 
namuona anavyoporomosha nondo

ujue kweli, sekondary nilikimbia upishi kwa ku-opt add math
wakanitoa kupika
nilikuwa naona karaha tu

hata hivyo nilianza kupika nikiwa mdogo mno
nikachukia for good
hata mtu asemeje nitapika sababu ni responsibility
NOT for fun kabisaaa

lol yaani wewe nyumbani kwako siwezi kufikia hata iweje, maana toka unanipokea terminal akili yangu itakuwa inawaza hii sredi lol...
Ila tunacompliketisha tu, hizi ni taaluma za watu naweka zangu professional beki 3 aliyesomea mapishi basi unakuwa na menu yako tu jikoni....
Tukaajili kaLizzy, au we unasemaje?
 
Kuwa unaanza na maji kidogo pia moto usiwe mkali. Yakikauka ukiona bado unaongeza kidogo kwakuyasambaza. Alafu kugeuza jitahidi kugeuza kidogo kidogo,usigeuze kama unavyofanya ugali. . . ikibidi tafuta ile miiko ambayo iko kama uma utakusaidia sana kwenye kugeuza.

Alafu nawanaona mnavyonitupia madongo we na Kongosho.

Mi na Kongs tunakuwazia yaliyomema, wala usiwaze bibie!

Hapo somo nimelielewa utamu hasa, ntalirudia taratibu nkirudi home na lile ricekuka niliweka kabatini 4 gud.
 
...ohooo,....nishaandaa maji na mchele hapa, maji kidogo ndio kiasi gani?...na kikombe kimoja cha mchele.
Leo mpaka namimi nichemshe pilau yangu hapa!...
Hahaha. . .
Haya fanya hivi. . .
Kwanza loweka mchele wako, alafu ndio ubandike maji jikoni. Chemsha vikombe viwili (size ile ile ulotumia kupima mchele) alafu yakishachemka punguza kimoja kabla ya kuweka mchele wako, usisahau mafuta na chumvi.

Acha moto wa juu kwa dakika kama tano hivi alafu angalia umelainika kiasi gani. Kama bado ni mgumu sana ongeza maji robo kikombe,punguza moto mpaka karibu na mwisho. . .kama jiko lina namba 1-6 weka namba 2 alafu funika. Ukishafunika hapo wala usiwe na haraka, unaweza ukaacha hata nusu saa, unaiva taratibu na hamna hofu ya kuunguza.
 
huo ndo ukweli
huwezi kuwa kamili kila idara kuna vitu vinasumbua

ila sio kwamba niko mweupe kabisa
nikikupikia samaki wa kukaanga, bilingaya pembeni na ugali utaimba haleluya

au kande la maharage
au mtori
au kideri au loshoroo
utanikubali tu

lol yaani wewe nyumbani kwako siwezi kufikia hata iweje, maana toka unanipokea terminal akili yangu itakuwa inawaza hii sredi lol...
Ila tunacompliketisha tu, hizi ni taaluma za watu naweka zangu professional beki 3 aliyesomea mapishi basi unakuwa na menu yako tu jikoni....
Tukaajili kaLizzy, au we unasemaje?
 
Mi na Kongs tunakuwazia yaliyomema, wala usiwaze bibie!

Hapo somo nimelielewa utamu hasa, ntalirudia taratibu nkirudi home na lile ricekuka niliweka kabatini 4 gud.

Hahahaha mna lenu jambo. . .eti nije kuwapikia. .MRINGE?

Jaribu bana. . .wali wa rice cooker haunogi kama wa kupika mwenyewe kwenye sufuria na ukipata mkaa upalie kabisa.
 
tena apalie mkaa hadi upate matandu

ungekuwa mmama, hayo matatu wayatia mchuzi anapewa mme ili alegee na kutoa siri au hela
hii ni pwani zaidi

nilikotoka ukimpa mme matandu na talaka juu
Hahahaha mna lenu jambo. . .eti nije kuwapikia. .MRINGE?

Jaribu bana. . .wali wa rice cooker haunogi kama wa kupika mwenyewe kwenye sufuria na ukipata mkaa upalie kabisa.
 
tena apalie mkaa hadi upate matandu

ungekuwa mmama, hayo matatu wayatia mchuzi anapewa mme ili alegee na kutoa siri au hela
hii ni pwani zaidi

nilikotoka ukimpa mme matandu na talaka juu

Sie huo ulikua kwaajili yetu watoto wakati tunasubiria muda wa kula ufike. Na wali ukishapakuliwa sufuria inanyunyuziwa mchuzi kidogo basi ule ukoko unavyonoga, mpaka raha.

Sie kwetu anachoweza kupewa baba kabla ya muda wa kula ni supu kidogo. . .chakula nusu nusu mwiko.
 
Hahaha! Wewe chizi fresh unajua!

Umenikumbusha nikiwa kibinti, nafundishwa kupika ugali. Mama anadai eti ukiiva ukipiga kitonge kiduchu ukutani kinaanguka. Basi kikinasa ukutani ujue haujaiva. Nilikuwa hadi nimalize kusonga ugali ukuta umeshaisha karibia nahamia mlangoni, lol!
tena apalie mkaa hadi upate matandu

ungekuwa mmama, hayo matatu wayatia mchuzi anapewa mme ili alegee na kutoa siri au hela
hii ni pwani zaidi

nilikotoka ukimpa mme matandu na talaka juu
 
Yaani mi niende kumtembelea mtu (esp rafiki zangu) halafu aweke menu isiyoeleweka.......michuzi bahari.......walah namwambia. Ila ugenini ndio inakuwa ngumu kidogo............nitakula kidogo na kuaga saa hiyo nikatafute msosi kwingine nisishinde na njaa bure.
 
Uko vizuri Lizzy....mwanamke asiwe mvivu kukaangiza.....ndio sifa kubwa, sio yule anaekuagiza ukitoka mzigoni nichukulie chips kuku
. . .What are you Great at?!!

Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi kukipenda mwanzo.

Mimi . . .
1. Maharage/makande, ya nazi au bila nazi. Nimefanya watu wasiopenda wananiuliza kila siku ntapika lini tena.
2. Ndizi na viazi, za nazi, mchemsho, samaki n.k. . ."lini tena nije kula" na "ntapata cha kuondokea ehhhhh?!" hua nyingi.
3. Cabbage ya nyama, na kachumbari za aina mbili hua hazikosi kuuliziwa.
4. Chapati. . . hehehe hizi hua zinanipa mtu wa kunisaidia kazi zangu kabisa. Nasema tu nnatamani kupika chapati ila sina nafasi mtu anajitoa mzima mzima.
5. Wali. . kwanzia pilau tulozoea, pilau ya mautundu binafsi, wali mweupe wa namna tofauti tofauti.
6. Kuku haswa wa kuoka. . hua nakua kichaa na spices and it always pay off.
7. Kitoweo (mchuzi) cha nyama au samaki. Wakati naanza kupika back in the days nilikua napata malalamiko sana wakati wa kula. . mchuzi ni mdogo. Kuna watoto tulikua tunaishi nao wenyewe walikua wanapenda wakidumbukiza tonge la ugali kwenye mchuzi ile kupeleka mdomoni mchuzi utiririke mkononi (I HATE THAT). . na kwenye wali waone punje zinaelea, but they eventually got over it.
8. Lasagne & pizza japo mimi silagi.
9. Samaki na nyama ya kuoka. . .lazima watu walambe vidole na kuuliza kama kuna iliyobaki.
10. Pork chops. . . nilimfundisha mtu miaka mitatu iliyopita mpaka leo haachi kunifagilia yeye akifagiliwa.
11. Chips . . . sikua najua ni nzuri kiviiiiile mpaka nilipoanza kuulizwa huwa nazifanyaje.
12. Na ya mwisho nnayokumbuka (samahanini msiopenda) KITIFAYA. . . yani hapo ndipo moto unapozimika.
 
Uko vizuri Lizzy....mwanamke asiwe mvivu kukaangiza.....ndio sifa kubwa, sio yule anaekuagiza ukitoka mzigoni nichukulie chips kuku
Hahahaah. . . eti 'ukitoka mzigoni nichukulie chips kuku!!'.Sindio maisha ya kimjini mjini hayo?
 
lizzy uko vizuri mama kumbe sector zote dah!
mm ktk ulivyotaja hapo juu najua baadhi hayo mapizza hata mm walaaa.
 
Wa kuoka sijawahi kula.

We LAT wewe. . . aisee mi crabs sijapata uthubutu wa kuonja kwakweli. Ladha yake ikoje?

Lizzy

yaani na mimi nilikuwa kama wewe, siku moja i got convinced, crab haina tofauti na samaki ya kawaida kabisaa, ndani ya zile legs na bones ndipo utakuta minofu, its rally delicious, ila minofu yake ipo in form of fibers

kama upo dar nenda chinese restaurant inaitwa TANGREN karibu na nyumba private ya kikwete hapo moroco, utafurahi, pia kuna maandazi ya mihogo, wachina bana
 
Back
Top Bottom