Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Big up man!!!
thanks Lizzy
Big up man!!!
Kuwa unaanza na maji kidogo pia moto usiwe mkali. Yakikauka ukiona bado unaongeza kidogo kwakuyasambaza. Alafu kugeuza jitahidi kugeuza kidogo kidogo,usigeuze kama unavyofanya ugali. . . ikibidi tafuta ile miiko ambayo iko kama uma utakusaidia sana kwenye kugeuza.
Alafu nawanaona mnavyonitupia madongo we na Kongosho.
namuona anavyoporomosha nondo
ujue kweli, sekondary nilikimbia upishi kwa ku-opt add math
wakanitoa kupika
nilikuwa naona karaha tu
hata hivyo nilianza kupika nikiwa mdogo mno
nikachukia for good
hata mtu asemeje nitapika sababu ni responsibility
NOT for fun kabisaaa
Kuwa unaanza na maji kidogo pia moto usiwe mkali. Yakikauka ukiona bado unaongeza kidogo kwakuyasambaza. Alafu kugeuza jitahidi kugeuza kidogo kidogo,usigeuze kama unavyofanya ugali. . . ikibidi tafuta ile miiko ambayo iko kama uma utakusaidia sana kwenye kugeuza.
Alafu nawanaona mnavyonitupia madongo we na Kongosho.
Hahaha. . ....ohooo,....nishaandaa maji na mchele hapa, maji kidogo ndio kiasi gani?...na kikombe kimoja cha mchele.
Leo mpaka namimi nichemshe pilau yangu hapa!...
lol yaani wewe nyumbani kwako siwezi kufikia hata iweje, maana toka unanipokea terminal akili yangu itakuwa inawaza hii sredi lol...
Ila tunacompliketisha tu, hizi ni taaluma za watu naweka zangu professional beki 3 aliyesomea mapishi basi unakuwa na menu yako tu jikoni....
Tukaajili kaLizzy, au we unasemaje?
Mi na Kongs tunakuwazia yaliyomema, wala usiwaze bibie!
Hapo somo nimelielewa utamu hasa, ntalirudia taratibu nkirudi home na lile ricekuka niliweka kabatini 4 gud.
osha, weka funga kwenye karatasi kama gazeti afu tia kwenye mfuko wa plastick
angalizo gazeti lina wino tafuta karatasi plain.
Cabbage sijajaribu mbinu hii
Hahahaha mna lenu jambo. . .eti nije kuwapikia. .MRINGE?
Jaribu bana. . .wali wa rice cooker haunogi kama wa kupika mwenyewe kwenye sufuria na ukipata mkaa upalie kabisa.
tena apalie mkaa hadi upate matandu
ungekuwa mmama, hayo matatu wayatia mchuzi anapewa mme ili alegee na kutoa siri au hela
hii ni pwani zaidi
nilikotoka ukimpa mme matandu na talaka juu
tena apalie mkaa hadi upate matandu
ungekuwa mmama, hayo matatu wayatia mchuzi anapewa mme ili alegee na kutoa siri au hela
hii ni pwani zaidi
nilikotoka ukimpa mme matandu na talaka juu
Wapishi bora na wazuri duniani ni wanaume ,wanawake ni wahudumu wazuri ila mapishi hawajui.
. . .What are you Great at?!!
Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi kukipenda mwanzo.
Mimi . . .
1. Maharage/makande, ya nazi au bila nazi. Nimefanya watu wasiopenda wananiuliza kila siku ntapika lini tena.
2. Ndizi na viazi, za nazi, mchemsho, samaki n.k. . ."lini tena nije kula" na "ntapata cha kuondokea ehhhhh?!" hua nyingi.
3. Cabbage ya nyama, na kachumbari za aina mbili hua hazikosi kuuliziwa.
4. Chapati. . . hehehe hizi hua zinanipa mtu wa kunisaidia kazi zangu kabisa. Nasema tu nnatamani kupika chapati ila sina nafasi mtu anajitoa mzima mzima.
5. Wali. . kwanzia pilau tulozoea, pilau ya mautundu binafsi, wali mweupe wa namna tofauti tofauti.
6. Kuku haswa wa kuoka. . hua nakua kichaa na spices and it always pay off.
7. Kitoweo (mchuzi) cha nyama au samaki. Wakati naanza kupika back in the days nilikua napata malalamiko sana wakati wa kula. . mchuzi ni mdogo. Kuna watoto tulikua tunaishi nao wenyewe walikua wanapenda wakidumbukiza tonge la ugali kwenye mchuzi ile kupeleka mdomoni mchuzi utiririke mkononi (I HATE THAT). . na kwenye wali waone punje zinaelea, but they eventually got over it.
8. Lasagne & pizza japo mimi silagi.
9. Samaki na nyama ya kuoka. . .lazima watu walambe vidole na kuuliza kama kuna iliyobaki.
10. Pork chops. . . nilimfundisha mtu miaka mitatu iliyopita mpaka leo haachi kunifagilia yeye akifagiliwa.
11. Chips . . . sikua najua ni nzuri kiviiiiile mpaka nilipoanza kuulizwa huwa nazifanyaje.
12. Na ya mwisho nnayokumbuka (samahanini msiopenda) KITIFAYA. . . yani hapo ndipo moto unapozimika.
Wa kuoka sijawahi kula.
We LAT wewe. . . aisee mi crabs sijapata uthubutu wa kuonja kwakweli. Ladha yake ikoje?