Chakula gani ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula tena?

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,770
59,095
. . .What are you Great at?!!

Nini ukipika watu wengine wanaomba kuongeza chakula kama hawana akili nzuri? Au hawaachi kuomba uwaambie ulichoweka? Au hawaachi kutania kwamba lazima umeweka dawa au 'umepika bila nguo' lolz. . .ama wengine unashangaa wanaishia kupenda chakula ambacho hawakuwahi kukipenda mwanzo.

Mimi . . .
1. Maharage/makande, ya nazi au bila nazi. Nimefanya watu wasiopenda wananiuliza kila siku ntapika lini tena.
2. Ndizi na viazi, za nazi, mchemsho, samaki n.k. . ."lini tena nije kula" na "ntapata cha kuondokea ehhhhh?!" hua nyingi.
3. Cabbage ya nyama, na kachumbari za aina mbili hua hazikosi kuuliziwa.
4. Chapati. . . hehehe hizi hua zinanipa mtu wa kunisaidia kazi zangu kabisa. Nasema tu nnatamani kupika chapati ila sina nafasi mtu anajitoa mzima mzima.
5. Wali. . kwanzia pilau tulozoea, pilau ya mautundu binafsi, wali mweupe wa namna tofauti tofauti.
6. Kuku haswa wa kuoka. . hua nakua kichaa na spices and it always pay off.
7. Kitoweo (mchuzi) cha nyama au samaki. Wakati naanza kupika back in the days nilikua napata malalamiko sana wakati wa kula. . mchuzi ni mdogo. Kuna watoto tulikua tunaishi nao wenyewe walikua wanapenda wakidumbukiza tonge la ugali kwenye mchuzi ile kupeleka mdomoni mchuzi utiririke mkononi (I HATE THAT). . na kwenye wali waone punje zinaelea, but they eventually got over it.
8. Lasagne & pizza japo mimi silagi.
9. Samaki na nyama ya kuoka. . .lazima watu walambe vidole na kuuliza kama kuna iliyobaki.
10. Pork chops. . . nilimfundisha mtu miaka mitatu iliyopita mpaka leo haachi kunifagilia yeye akifagiliwa.
11. Chips . . . sikua najua ni nzuri kiviiiiile mpaka nilipoanza kuulizwa huwa nazifanyaje.
12. Na ya mwisho nnayokumbuka (samahanini msiopenda) KITIFAYA. . . yani hapo ndipo moto unapozimika.
 
Denda lan'tiririkaje! Hadi kuskirini ! Huko mbeleni napendekeza Ban kwa watamanishao wenzao aninesale!
 
Wifi tukubaliane hapa kuwa bragging a bit inakubalika. Mimi napenda kupika coz napenda chakula kizuri. Nikiingia kwa watu nikafunua bakuli nikaona hakuna mvuto, naanza kutangaza diet manake ntagusa tu! I can't stand bad food, that is it!

Ila ukiachia vitumbua ambavyo sijawahi jaribu kupika, nadhani I a good cook. Ila my killer chapattis ndo funga kazi. My mom's family secret recipe, kama ushawahi ona chapati inanyambuka kama croissant, lainii afu not greasy,lol
 
Wifi tukubaliane hapa kuwa bragging a bit inakubalika. Mimi napenda kupika coz napenda chakula kizuri. Nikiingia kwa watu nikafunua bakuli nikaona hakuna mvuto, naanza kutangaza diet manake ntagusa tu! I can't stand bad food, that is it!
Ila ukiachia vitumbua ambavyo sijawahi jaribu kupika, nadhani I a good cook. Ila my killer chapattis ndo funga kazi. My mom's family secret recipe, kama ushawahi ona chapati inanyambuka kama croissant, lainii afu not greasy,lol
Sasa upate chapati na chai ya maziwa iliyoungwa hiliki au chai rangi iliyotiwa karafuu, ni balaa! Kitambo kidogo pale Kariakoo kwa wale Wasomali wa hoteli ya Al Uruba nilikuwa napiga Chapati na Roast ya nyama ng'ombe!!
 
Afadhali hata additional na basic applied maths unazijua! Manake wewe hukawii kusema afadhali upewe adhabu ya kuangalia tv kuliko kupika!

Haya, here is how to entice ur cooking hobby: invest in a good kitchen, gadgets za kurahisisha maisha na sink zuri la kuoshea vyombo na convenient dustbin. In 20 mins, with a 4 stoves cooker ngoma iko mezani kitu cha 3 course!
jamani nachukia kupika???
i would rather do additional maths kuliko kupika.

Big up kwa mnaopenda kupika, i real envy you guys.
 
Kama ulikuwepo hapo kwenye chai nzito ya maziwa, yenye iliki na tangawizi mbichi! Afu kuwe na maharagwe na nyama, lol salaaale!
Sasa upate chapati na chai ya maziwa iliyoungwa hiliki au chai rangi iliyotiwa karafuu, ni balaa! Kitambo kidogo pale Kariakoo kwa wale Wasomali wa hoteli ya Al Uruba nilikuwa napiga Chapati na Roast ya nyama ng'ombe!!
 
Wifi tukubaliane hapa kuwa bragging a bit inakubalika. Mimi napenda kupika coz napenda chakula kizuri. Nikiingia kwa watu nikafunua bakuli nikaona hakuna mvuto, naanza kutangaza diet manake ntagusa tu! I can't stand bad food, that is it!
Ila ukiachia vitumbua ambavyo sijawahi jaribu kupika, nadhani I a good cook. Ila my killer chapattis ndo funga kazi. My mom's family secret recipe, kama ushawahi ona chapati inanyambuka kama croissant, lainii afu not greasy,lol

Hahaha wifi we mbona ni miss 'brag much'. . lolz

Duh. . .yani kama mimi. Sehemu ambazo najua msosi wao sio mi hua nasema sina njaa hata kama tumbo linanguruma. Na kama kulala kunanihusu ntajitolea kupika ili nijue angalau dinner hainipiti.

Mi sambusa hua napika sema hua nasumbuka sana na zile chapati zake (sijui wanaziiitaje vile ). . .otherwise filling hua inakua mwake sana. Yani hapo hata nikifunga macho hamna kufeli.

Hahahaha unaringia chapati za kuchambuka ehhh? Embu tushindane siku moja . . . lolz. . .maana siri naijua sana!!
 
Ahhh njegere na wali ni mwisho wa matatizo.



Samaki mkavu na wali?
Mi napenda na ugali, tena awe perege. Yani ntatafuna mpaka mifupa.

Hehehe nije na ndizi kwani ni ubwabwa wa shughuli?

Yah, wali maharage nazi, na samaki mkavu kwa pembeni, nina tatizo la nyama kwenye meal yangu, i gotta have it, i gotta have some meat.lol
 
Kama ulikuwepo hapo kwenye chai nzito ya maziwa, yenye iliki na tangawizi mbichi! Afu kuwe na maharagwe na nyama, lol salaaale!
Sasa hao wanaosema hawawezi kupika si ndiyo wanatukimbiza kabisa!! Misosi ya kupikiwa home ndiyo delicious lakini vya hotel ni vicious ila vinapambwa na matukio maalum
 
Back
Top Bottom