kisute
Member
- Oct 6, 2010
- 54
- 3
Wana jamvi nahitaji msaada wenu kwa hili.
Jamaa yetu mmoja (mtingaji mgodini) leo hii kapata kisago kisa hakufika kazini kwa siku mbili.
Kabla ya kujitetea alipigwa na kiongozi wake ambae ni kaburu hadi kuzirai. Alipopata fahamu alijikuta yuko clinic kaumia mbavu na mkono mmoja. Je, kwa kosa la kutofika kazini adhabu yake ni kipigo? Hii sheria ni ya nchi gani. Nini afanye huyu ndugu yangu.:shetani:
Jamaa yetu mmoja (mtingaji mgodini) leo hii kapata kisago kisa hakufika kazini kwa siku mbili.
Kabla ya kujitetea alipigwa na kiongozi wake ambae ni kaburu hadi kuzirai. Alipopata fahamu alijikuta yuko clinic kaumia mbavu na mkono mmoja. Je, kwa kosa la kutofika kazini adhabu yake ni kipigo? Hii sheria ni ya nchi gani. Nini afanye huyu ndugu yangu.:shetani: