Kupigwa mubashara

Nkolandoto

JF-Expert Member
Sep 18, 2016
3,877
3,675
Habari za jioni wanajamvi.
Nimekuwa nikipata wakati mgumu na natumia udikteta tu

Sijui we mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje

Inatokea sana ninapokuwa ktk matembezi na mwanamke wauza vitu huwa wanapandisha bei vitu vyao hopping kuwa mwanamke aking'ang'ana lzm mzee zikutoke na tena watambembeleza mno ili tu ashawishike anunue

Sasa Mimi huwa nakaa mbali wala simwangalii kwa kuwa akikipenda lzm aje kwangu ,mi namuuliza tu bei nkiona ya juu namwambia twende hamna kitu hapa naanza safari lzm anifuate tu

Sijui mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje
Tusaidiane ujuzi
 
Habari za jioni wanajamvi.
Nimekuwa nikipata wakati mgumu na natumia udikteta tu

Sijui we mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje

Inatokea sana ninapokuwa ktk matembezi na mwanamke wauza vitu huwa wanapandisha bei vitu vyao hopping kuwa mwanamke aking'ang'ana lzm mzee zikutoke na tena watambembeleza mno ili tu ashawishike anunue

Sasa Mimi huwa nakaa mbali wala simwangalii kwa kuwa akikipenda lzm aje kwangu ,mi namuuliza tu bei nkiona ya juu namwambia twende hamna kitu hapa naanza safari lzm anifuate tu

Sijui mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje
Tusaidiane ujuzi
Yaani mkuu ni shida unaweza toka anajua KBS mfukoni unangapi na umempa yake anunue vitu atakavyopenda lkn akiona anataka utoe ww hela
Pole sana mkuu ndio majukumu hayo...kama ni mkeo muhudumie tu
 
Basi ana tamaa za ajabu. Mpenzi anaekupenda hawezi ng'ang'ania kitu njiani kisa kakipenda wakati anafahamu fika hali halisi ya uchumi wako, inaonekana ni tabia ya mara kwa mara. Umemzoesha mazoea mabaya
 
unampanga kabla hamjatoka zile terms na conditions zako unampa kabisa arifu awezi zingua.
Yaani mkuu unaweza toa mpaka pesa yake anunue anachopenda njiani na anajua unakiasi gani lkn akipata kitu anataka wewe ikutoke tena
 
Mwanamke mpe hela akanunue vitu mwenyewe nakumbuka nlikuwa nkienda na wife kkoo atazunguka maduka 1000 anachagua anaacha namuuliza ww vp anasema sijapenda mpk nikawa nakwepa hizo safari hata aombe vp nimsindikize nakataa
 
Mwanamke mpe hela akanunue vitu mwenyewe nakumbuka nlikuwa nkienda na wife kkoo atazunguka maduka 1000 anachagua anaacha namuuliza ww vp anasema sijapenda mpk nikawa nakwepa hizo safari hata aombe vp nimsindikize nakataa
aki ya nani

Nakwepa sana lkn wakati mwingine yaaan we
 
Basi ana tamaa za ajabu. Mpenzi anaekupenda hawezi ng'ang'ania kitu njiani kisa kakipenda wakati anafahamu fika hali halisi ya uchumi wako, inaonekana ni tabia ya mara kwa mara. Umemzoesha mazoea mabaya
Kumbe ukatili wangu niendeleze numbisa au siyo
 
Watu wengi maisha yao ni ya kinguruwe kila anachokutanacho sawa, naanzaje kutoa pesa kwa kitu sijapanga kununua kisa mwanamke, umleavyo ndivyo........., Hawez thubutu
 
Mimi huwa nikitoka na mpenzi wangu , nikipenda kitu halafu nikaona bei haiendani na hicho kitu huwa sikitaki tena.
Kuna siku akajitia kununua T-shirt elfu 20 na wakati zinauzwa elfu 10. Kisa wauzaji walikuwa wadada.
Niligomba kama vile nimemfumania tangu hiyo siku amekoma.
 
Habari za jioni wanajamvi.
Nimekuwa nikipata wakati mgumu na natumia udikteta tu

Sijui we mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje

Inatokea sana ninapokuwa ktk matembezi na mwanamke wauza vitu huwa wanapandisha bei vitu vyao hopping kuwa mwanamke aking'ang'ana lzm mzee zikutoke na tena watambembeleza mno ili tu ashawishike anunue

Sasa Mimi huwa nakaa mbali wala simwangalii kwa kuwa akikipenda lzm aje kwangu ,mi namuuliza tu bei nkiona ya juu namwambia twende hamna kitu hapa naanza safari lzm anifuate tu

Sijui mwenzangu ikikutokea huwa unafanyaje
Tusaidiane ujuzi
Wewe funguka tu
 
Back
Top Bottom