Kupigwa kipara hadharani

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,427
154,271
406822_343100979121211_1384882464_n.jpg
 
Jamani mbona huo ni mkasi wa kukatia maua/michongoma? Wait a moment, huo mkasi unafaa sana angepewa makamu wa rais kwa ajili ya kazi yake kuu ya kukata utepe/uzinduzi. Yaani jinsi ulivyo atautumia toka uchanguzi mpaka uchaguzi unaofuata bila kununua mwingine!
 
Jamani mbona huo ni mkasi wa kukatia maua/michongoma? Wait a moment, huo mkasi unafaa sana angepewa makamu wa rais kwa ajili ya kazi yake kuu ya kukata utepe/uzinduzi. Yaani jinsi ulivyo atautumia toka uchanguzi mpaka uchaguzi unaofuata bila kununua mwingine!

mmh! huu hauingii mfukoni mwa suti !!!
 
Jamani mbona huo ni mkasi wa kukatia maua/michongoma? Wait a moment, huo mkasi unafaa sana angepewa makamu wa rais kwa ajili ya kazi yake kuu ya kukata utepe/uzinduzi. Yaani jinsi ulivyo atautumia toka uchanguzi mpaka uchaguzi unaofuata bila kununua mwingine!

Kweli mmeanza kuwakota!!!!
 
Nilivyoona ni jukwaa la pich nkajua tu itakuwa "kupigwa kipara" cha kawaida!:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom