Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,049
- 79,059
Ewe mwana Mageuzi wa kweli katika kuleta Ukombozi wa nchi hii toka serikali ya kidhalimu ya CCM tafadhali saidia ushindi kwa CHADEMA! Sio siri na asiyeona na aone Dr Slaa ndo anakubalika kwa sasa na kumpigia Prof. Lipumba ni kugawa kura za Upinzani! Nianaamini ndugu zangu wana CUF ni wana mageuzi wa kweli na sio wana itikadi; hivyo basi tunawaomba mumuunge mkono Dr. Wilbrod Slaa kuwa Rais wa Jamhuri hii kwa ustawi wa Watanzania wote maana hata sera za hawa wagombea wawili wa Upinzani zinashaabiana Dr Slaa na Maalim Seif watatuvusha daraja kuelekea neema kwa maisha bora ya familia zetu!
Hima jamani...shimee...
Mtaarifu na jirani yako
Hima jamani...shimee...
Mtaarifu na jirani yako