LegalGentleman
Member
- Oct 26, 2021
- 98
- 286
Kifungu cha 87 cha kanuni ya Adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa mapitio mwaka 2002 kinazuia watu kupigana adharani na mtu yeyote atakayepigana adharani, adhabu yake ni kifungo cha miezi sita jela.
Kifungu cha 89 cha sheria iyo iyo kanuni ya adhabu sura ya 16 kinakataza mtu yeyote kutumia lugha za matusi adharani, au lugha ya kinyaa au maneno ambayo yataleta na kuzua taharuki.
"....(a) atatumia maneno ya kinyaa, ya matusi au ya usafihi kwa mtu mwingine yeyote kwa namna ambayo huenda ikaleta uvunjifu wa amani..."
Kuwa makini usivunje sheria
Kifungu cha 89 cha sheria iyo iyo kanuni ya adhabu sura ya 16 kinakataza mtu yeyote kutumia lugha za matusi adharani, au lugha ya kinyaa au maneno ambayo yataleta na kuzua taharuki.
"....(a) atatumia maneno ya kinyaa, ya matusi au ya usafihi kwa mtu mwingine yeyote kwa namna ambayo huenda ikaleta uvunjifu wa amani..."
Kuwa makini usivunje sheria